EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
- Thread starter
-
- #41
Anza kwanza kuyaanika hayo makalio yako yenye ukurutu yakiwa utupu kabla ya kunianika mimi hapa.Naona unalazimisha kunifahamu ,huko unapopaita teku ndio unayapelekaga makalio yako yakashikweshikwe au?.Halafu acha mikwara yako ya kibwege haina effect yoyote kwangukwangulNaona hadi unajikataa, ulivyopoyoyo!
Kichwa kimejaa upupu, naona wazazi wako walipoteza ada kukupeleka TEKU, maana najua huna ujasiri wa kujitambulisha popote kuwa wewe ni zao la TEKU, aibu kubwa sana kwako! Ndio maana unabwabwaja tu hapa!
Kwa taarifa yako nimeshakuambia nakujua nje ndani, au wataka nikuanike wazi hapa...!?
Ila soon nishakuambia unachokitafuta utakipata, sitanii for sure!
Wewe ndio unaonekana fala,tena fala mpaka mafala wenyewe wanakushangaaSasa Mimi na wewe anaeonekana fala ni nani,? We kweli fala.
Wanaona raha wanavyoanika mambo ya majeshi mitandaoni, lakini wajue tu kiama chao kiko mbioni maana mambo ya majeshi hayaanikwi kila sehemu.Lugalo hakuna kuruta kuruta wako kiangaiko.
Amesema ukweli amani ya nchi ni kila mwananchiID yako ( haswa inavyoitwa ) inasadifu 100% ulivyo hasa Ubongoni ( Akilini ) mwako Ndugu.
Wanaona raha wanavyoanika mambo ya majeshi mitandaoni, lakini wajue tu kiama chao kiko mbioni maana mambo ya majeshi hayaanikwi kila sehemu.
Tatizo wa Tanzania mmejawa na uoga kuhusu majeshi maana ungeweza kujibu baadhi ya kazi zao mengine ya siri ukafichaPole
Kazi zenye viapo mtu akikwambia majukumu yake ni sawa na kutoa siri.
Hivyo basi njia rais ni kwenda sehemu husika wanakupa majibu.
Jamii forum wameshinda kesi yao inayohusu uhuru wa kupeana habari ila tutambue hakuna uhuru usio na mipaka...hata nyumbani kwako kuna vinavyokaa sebuleni na vinavyo kaa chumbani...na mwilini mwako kuna nguo inayovaliwa nje na nyingine ndani...ukienda tofauti jamii itakuona tofauti na tunaishi km jamii na hili ni jukwaa la jamii
Kazi ya Jeshi ni ulinzi wa mipaka
Anataka kujifunza na kujua acha kumtishia akihitaji kujifunza tunamsaidia ajue na sio kila kitu anaambiwa anambiwa kusu mambo tu ya kawaida acha kumtishia kijana....kujua majukumu ya wanajeshi wa nchi yake wanao mlinda sio jambo baya ni jambo jema acha kumtishia kijana ni mzalendo....Wanaona raha wanavyoanika mambo ya majeshi mitandaoni, lakini wajue tu kiama chao kiko mbioni maana mambo ya majeshi hayaanikwi kila sehemu.
Ujui chochote ww kaa kimya siri unazijua wewe...Pole
Kazi zenye viapo mtu akikwambia majukumu yake ni sawa na kutoa siri.
Hivyo basi njia rais ni kwenda sehemu husika wanakupa majibu.
Jamii forum wameshinda kesi yao inayohusu uhuru wa kupeana habari ila tutambue hakuna uhuru usio na mipaka...hata nyumbani kwako kuna vinavyokaa sebuleni na vinavyo kaa chumbani...na mwilini mwako kuna nguo inayovaliwa nje na nyingine ndani...ukienda tofauti jamii itakuona tofauti na tunaishi km jamii na hili ni jukwaa la jamii
We ni mshamba tu kama wengine!Pole
Kazi zenye viapo mtu akikwambia majukumu yake ni sawa na kutoa siri.
Hivyo basi njia rais ni kwenda sehemu husika wanakupa majibu.
Jamii forum wameshinda kesi yao inayohusu uhuru wa kupeana habari ila tutambue hakuna uhuru usio na mipaka...hata nyumbani kwako kuna vinavyokaa sebuleni na vinavyo kaa chumbani...na mwilini mwako kuna nguo inayovaliwa nje na nyingine ndani...ukienda tofauti jamii itakuona tofauti na tunaishi km jamii na hili ni jukwaa la jamii
Wengi wao humu ni raia hawajui chochote eti siri mnazijua siri nyny au mnaongea tuu...Wabongo washamba sana! Yaani ikitamkwa jeshi kama imetamkwa mbingu....
Acheni ushamba na akili za kijima kwani akijua kazi maalumu za kila askari wa kila cheo ndiyo nini kitatokea?
Warusi kwa hilo alilouliza wapo wazi, China yupo wazi, Kim Jong wa NK anaonyesha na mizinga na makombora wazi.
Wewe mbongo una nini? Yaani ushamba ushamba na ujinga mwingi.
HAHAHAHA DUH.Achana na wanaokubeza, ingia Google andika jwtz, link ya Kwanza ndio tovuti ya jeshi lako, jeshi liko imara, jeshi halishindwi, kila kitu unachotakiwa kujua raia,kipo hapo. Nenda kalijue jeshi lako na ujivunie kulindwa na jeshi kamili.
Kama unachazaidi, mawasiliano yapo, andika barua Pepe, piga simu utajibiwa.
Ni washamba tu wanaishi na kasumba za mitaani. Kazi za walinzi wa rais zinafahamika kwa uwazi yaani hivyo ndiyo kusema siri zimetoka? Kuna aliyethubutu kumvamia rais kwa kumdhuru?!Wengi wao humu ni raia hawajui chochote eti siri mnazijua siri nyny au mnaongea tuu...
Nakuona afande chabrosy .Wengi wao humu ni raia hawajui chochote eti siri mnazijua siri nyny au mnaongea tuu...