fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
aah sio kweli 🤣🤣 nlkua na ndoto ya kumiliki uwanja nkifkisha miaka 25 ila skuwa na ndpto ya kumiliki gari wala skuwazia kabsaaHNunua crown athlete mkuu
Suala la ununuzi wa ardhi ni Mchakato Mrefu sana unaohusiha utaalamu wa aina mbalimbali (wa Kisayansi na Sanaa). Siyo kila mtu anaweza kufanya. Ni taaluma ya utafiti wa kina sana, usipofuata Kanuni zake matokeo yake huwa ni mabayq na machungu sana.kwema wakuu,
Mdogo wenu huu mwaka nimejitafuta nataka nikanunue uwanja mwsho wa upepo uko ndani ndani.
Sasa sijui chochote kuhusiana na kununua uwanja naombeni mnipe muongozo mdogo wenu napoenda kukamilisha hii ndoto yangu maana naogopa kutapeliwa wakuu
Mtu kaomba muongozo,, wewe unamwambie afuate kanuni sasa si ndo umuoambie hizo kanuna afuateSuala la ununuzi wa ardhi ni Mchakato Mrefu sana unaohusiha utaalamu wa aina mbalimbali (wa Kisayansi na Sanaa). Siyo kila mtu anaweza kufanya. Ni taaluma ya utafiti wa kina sana, usipofuata Kanuni zake matokeo yake huwa ni mabayq na machungu sana.
Chukua tahadhari kubwa, "Buyer Beware."
Unaweza ukamlipia "Consultation Fee" ili apatiwe huduma hiyo.Mtu kaomba muongozo,, wewe unamwambie afuate kanuni sasa si ndo umuoambie hizo kanuna afuate