Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kunywa Maji mengi, kula vizuri na kuhakikisha unashiba, Takatisha mawazo yako....stress free zone...
ASAP ndo nn?Bia fafanua,
Mm
Nilikuaga mwembamba sana yaan nikikutana na watu hubakia na mshangao.....
Yaan #ASAP nimekua na mwili aise kilo 85
Mkuu vitu vingine usisumbue watu Google....ASAP ndo nn?
🤣😂ila watu wengine wajuajiiMkuu vitu vingine usisumbue watu Google....
As soon as possible ☺️☺️
#ASAP
Fafanuaa kidogo 😊🤓😂🤣😂🤣🤣😂ila watu wengine wajuajii
Mayai 10?!!🤔Rahisi sanaa
Kula protein kwa wingi ikiwezekana kila siku kula mayai 10 pekee ya kukaanga
Punguza sex
Lala sanaaa mchana lalaa mno
Week mbili kama hujanenepa utakuwa ulikula rambo [emoji23]
hii mbinu ni sahihi kabisa ukila ukishiba ukiwa huna mawazo mambo yako yanaenda vizuri lazima ukuwa na afya nzuri ya MwiliKunywa Maji mengi, kula vizuri na kuhakikisha unashiba, Takatisha mawazo yako....stress free zone...
Mvinyo kidogo...
Usitembee na watu kichwani....
Sijui naeleweka......
Ukiwa na pesa unanenepa bila hata kuweka schemes yeyote kwasabb UKIWA NA PESA AKILI INA TAKATA[emoji4][emoji851][emoji851][emoji851]
Truehii mbinu ni sahihi kabisa ukila ukishiba ukiwa huna mawazo mambo yako yanaenda vizuri lazima ukuwa na afya nzuri ya Mwili
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyakula vya wanga vina sababisha tumbo kuwa kubwaProtein hainenepeshi.
Mtu ananenepa kwa kula vyakula vya wanga na sio mafuta wala protini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo kwenye haramu naomba nikazie ndani ya mwezi kashakubwa tukunyemaKula matunda kwa wingi hasa parachichi, mboga mboga za majani, samaki kwa wingi ila nyama na wanga kiasi( isiwe sana), japo mimi sio mtumiaji ila kuna kitoweo flani hivi ningeshauri ila isivyo bahati kwa wengi ni haramu. hivyo tubakie humu humu tu
Kitimoto Nini😂?Hicho kitoweo nimeshakijua [emoji23]
Tunapishana...Habarini wana JF,
Nini kifanyike ili kuongeza mwili (unene) ili niwe na muonekano mzuri wa kiafya unaovutia?
Nahitaji kunenepa.
ndio hivi kumbeNo stress
Kubweteka
Kula parachichi,mtindi na meats zenye mafuta
Bia
Kwani anataka kitambi?Kula vyakula vya sukari halafu pumzika vya kutosha, unavuta kitambi sio mda
inapatikana wapiNunua protein shakes inarange from 50k+ 2weeks kapime uzito
Nenda gym ya karibu utaptinapatikana wapi
Hivi wewe ni ke au me?Yaani ninachohitaji ni kuwa kibombe mpaka nikivaa jeanz zangu ziwe zinabana