Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kunywa Maji mengi, kula vizuri na kuhakikisha unashiba, Takatisha mawazo yako....stress free zone...
Mvinyo kidogo...
Usitembee na watu kichwani....
Sijui naeleweka......
Ukiwa na pesa unanenepa bila hata kuweka schemes yeyote kwasabb UKIWA NA PESA AKILI INA TAKATA😊🤓🤓🤓