Hii imeenda kaka...Mimi nadhani maeneo unatakiwa kufocus ni mawili hapo, kwanza Gym, kubali kuingia gharama ya gym ya kisasa ambayo watakupa trainings za kukata huo mwili na kukupa athletic body maana una mwili mzuri tu wa kukatika na kutengeneza mbavu.
Pili tazama sana ulaji wako ufanye kucut down Calories intake na fats.
Diet ! Diet !Diet plus mazoezi ya kawaida hasa kutembea umbali mrefu na kunywa maji mengi ila inahitaji moyo nakumbuka kuna kipindi nilifikisha kilo 89 ila kwa nilivyoji restrict zikashuka hadi 83 ndani ya miezi miwili na zinazidi kupungua cha msingi.Khabari zenu,
Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.
Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.
Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.
Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).
Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.
Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.
Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.
Uzi na picha.
View attachment 2646189
Safi sasa, anza kufunga halafu jioni kula matunda tuu, acha vyakula vya wanga kwa wiki 2 mfululizoYeah ramadhani huwa napiga z0te 30 ila napungua kid0g0 kama kil0 3 ivi...
Sikupata Ulcers.Naamin uligraduate swala lako ukiwa natatizo jingine la ulcers
Mkuu umeweka na picha kabisa?Khabari zenu,
Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.
Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.
Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.
Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).
Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.
Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.
Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.
Uzi na picha.
View attachment 2646189
Hiyo ni ziro pak mkuuHi ndo wanaita one pk
Vitambi au??Eeh ndo ivo kidogo tu umehisi njaa, mara jioni umejisogeza kwenye supu ya pweza, umetoka hapo umenunua karanga au korosho kwanini usiwe kibonge.
Ndio maana wadada wengi mjini wana maumbo ya ajabu mno ni nguo tu zinawasaidia ila maumbo yao wakivua yanatisha.
Nilikuwa nakilo mia Moja mie nikapungua hadi kilo 70 huoni ni Njia nzuri Kwako penda kuamka asubuhina mapema na ufanye usafi au kujishighulisha shughulishaSafi
KabisaNilikuwa nakilo mia Moja mie nikapungua hadi kilo 70 huoni ni Njia nzuri Kwako penda kuamka asubuhina mapema na ufanye usafi au kujishighulisha shughulisha
Asante sana...Ni mimi namuona wa kawaida tu au sielewi? Acha kujichukia, mwili wako si mbaya hata, kikubwa fanya mazoezi ujenge muscles, nyama zikaze na matiti yaondoke. Jitahidi kukimbiza upepo walau asubuhi au jioni. Punguza uroho wa chakula, kuna muda sema tu enough is enough, kula kula kunaponza sana.
And be kind to yourself, acha kujipa majina mabaya sijui kiazi sijui nini.