Nahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana

Nahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana

Aisee tunatofautiana.

Mie nina KG 85 ila mwil wangu ni slim mtu huwez kuzania nina hizo kg.

My target nifike 90 kg alafu nianze mazoez ya Kunyanyua chuma nifitishe mwil vzr zaidi..


Kwa kesi yako mkuu hicho kitambi daah msaada wangu mkubwa ni ufanye mazoez ya tumbo kwanza.. pia ruka kamba.
 
Nikiwa na miaka 10++ nilikuwa mnene sana ila baada ya kuingia boarding nilipungua sana.. kilichonikuta ni limit ya chakula nilichokuwa nakula, maana asubuhi ni uji mkavu, mchana ugali na haushibi, usiku ni ugali na haushibi kivile (wale tulosoma shule za katoliki maharage kama Karanga), nachotaka kusema ni kuwa kupunguza mwili hakuna namna zaidi ya kuwa na discipline, jaribu kujiasses kwa siku unakula vyakula gani, na hakuna shortcut, kupunguza mwili ni jambo linalohitaji nidhamu sana

Pia jitahidi usinywe beverages kama soda, energy, apple punch n k hizo zinaongeza sana mwili asikwambie mtu

Kuhusu mazoezi usifanye mazoezi ya kujiumiza sana, mazoezi pekee ambayo ni salama ni jogging, jogging ya nusu saa deile inatosha kukufanya uwe na mwili wa kawaida kama ukimantain kwa mwezi mzima

Narudia tena hakuna shortcut ya kupunguza uzito inahitaji discipline ya kutosha
Asante sana..
 
Aisee tunatofautiana.

Mie nina KG 85 ila mwil wangu ni slim mtu huwez kuzania nina hizo kg.

My target nifike 90 kg alafu nianze mazoez ya Kunyanyua chuma nifitishe mwil vzr zaidi..


Kwa kesi yako mkuu hicho kitambi daah msaada wangu mkubwa ni ufanye mazoez ya tumbo kwanza.. pia ruka kamba.
Asante kaka..
 
Na kadri unavyonenepa na hamu ya kupenda kulakula inaongezeka
Eeh ndo ivo kidogo tu umehisi njaa, mara jioni umejisogeza kwenye supu ya pweza, umetoka hapo umenunua karanga au korosho kwanini usiwe kibonge.

Ndio maana wadada wengi mjini wana maumbo ya ajabu mno ni nguo tu zinawasaidia ila maumbo yao wakivua yanatisha.
 
Fanya intermittent fasting....

Ni nzuri na matokeo utayaona kwa haraka..
 
Eeh ndo ivo kidogo tu umehisi njaa, mara jioni umejisogeza kwenye supu ya pweza, umetoka hapo umenunua karanga au korosho kwanini usiwe kibonge.

Ndio maana wadada wengi mjini wana maumbo ya ajabu mno ni nguo tu zinawasaidia ila maumbo yao wakivua yanatisha.
Haha..
 
Khabari zenu,

Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.

Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.

Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.

Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).

Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.

Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.

Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.

Uzi na picha.

View attachment 2646189
Mazoezi yanakushinda? Halafu punguza kula
 
Back
Top Bottom