Nahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana

Nahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana

Mazoezi yanakushinda? Halafu punguza kula
Mazoezi hayanishindi ila mipangili0 ya kazi inafanya nak0sa maz0ezi...Naondoka home sa 11 alfajili narudi sa 4 usiku ila kazi ninay0fanya ni kukaa kwenye kiti tu..
 
Mkuu

Kwa ulichokifanya hapa, tayari umepungua, jinsi umeandika nikazani bonge la mtu kumbe hivyo?

Umeanza ku panic wakati sahihi kabisa so kazi ya kupungua itakuwa rahisi zaidi

Kupungua start from the will as sio kitu kirahisi but kanuni kuu ni 2 tu

1. Punguza sana kula, kunywa maji sana, matunda na mboga mboga acha kabisa sukari na wanga
2. Mazoezi ni lazima kwenye kupungua vizuri na si hiyari so acha kisingizio cha ratiba, mimi huwa nafanya mazoezi kishingo upande sana kuanzia 2000h mpaka 0900h

Mengine ngoja madaktari waje
Asante kaka kwa kunitia moyo..
 
Ip0je hii kaka nielezee kwa ufupi tu...
Ni ratiba ya kula chakula ambayo unajiwekea baada ya masaa kadhaa....

Inaweza kuwa masaa 8,12,24 nakuendele...

Ratiba hiyo utachagua ule nini...maana yake kuna baadhi ya milo utaacha kula...

Halafu mimi siyo Kaka Mkuu[emoji2]
 
Kuna jamaa yangu alikua na kilo 100+ kibonge na mrefu, kutembea ilikua shida ni yeye na boda/bajaji, hatua 10 tu anahema kama mbwa ulimi nje.
Akaona sasa hii too much, akabadili ratiba ya kula.

Alikua anakula mara 2 tu per day, ile jioni ya saa 11 ndo anapiga msosi kwa maelekezo ya dkt wake.
Then usiku analalia tunda tu, ilikua ngumu ila alizoea mpama sasa ana kilo 70+ kutoka 100+.
 
Pole man!

Gta SASA kazi kwako!!

Agiza Tabora asali mbichi ndoo ya lita kumi au lita tano!

Chemsha maji ya moto au chai kama ni chai usiweke sukari!

KILA siku asubuhi na jioni weka vijiko vitatu au viwili kwenye maji Moto au chair YAKO isiyo na sukari koroga kunywa,

Jioni kunywa baada ya kula kiasi usile kupita kiasi HALAFU kunywa SASA mchanganyiko huo,asubuhi kunywa kabla ya kuswaki na kula chochote piga Kikombe kimoja kikubwa cha nusu lita au viwili vitatu vya KAWAIDA!kunywa KWA uwezo wako!!

Utaharisha mwanzoni,baadae utazoea na tumbo litaisha KABISA!UTAKUA normal!ukihisi kuu kunywa maji baridi kama kawa!!!!
Asante sana kwa huu ushaur..
 
Mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa.
UNaweza kuenda dakika 20 na bado usimfikishe,na pia jua tu keamba hata hao vimbaumbau wanalia na kuwahi kufika kileleni.

Matatizo binafsi uliyonayo usitupie lawama uzito wako,uzito hauna mahusiano na kuwahi kileleni.

NIJE KWEMYE MADA HUSIka.

1.jua tu kwamba hakuna chakula ambacho kinakufanya uwe mwembamba au mneno,vyakula vyote ni sawa.

2.kinachokufanya uoungue unene ni ile hali ya mwili kutumia mafuta yaliyohifadhiwa na kuyafanya ndio chanzo cha nishati,hayo mafuta ama (adipose tissue,fats) ndio yanakufanya uonekane mnene kama vile kitambi,manyonyo,mapaja na mikono hizo ndio sehemu mafuta hukaa sana.

so inshu kubwa ni kutafuta namna ambayo mwili utayatumia hayo mafuta kama chanzo cha nishati,..

Na je ni wakati gani mwili hutumia mafuta hayo ? Ni wakati ambao chakula cha tumboni hakitoshi kusambaza nishati mwilini.

JE ni kipi kitafanya chakula cha tumboni kisitoshe ?

a)kwa kufanya mazoezi makali kama kukimbia n.k huku ukila mlo wa kawaida ama ukipunguza kidogo,hiyo itafanya mwili utake nishati zaidi ili kufidia yale mazoezi.

B)usiwe unakula ovyo,yani unaweza amua ukala saa 8 mchana na unakula chakula chochote kwa kiasi kidogo tu then kula tena saa moja ausiku ama kesho,hiyo itafanya mwili uhitaji chakula ili upate nguvu na hapo ndio mafuta ya ziada yatachomwa na kwa baada ya muda utaanza kuona matokeo.

3.Discipline.Lazima uwe na msimamo wa kusimamia malengo yako lasivyo utaishia njiani.
 
Ni ratiba ya kula chakula ambayo unajiwekea baada ya masaa kadhaa....

Inaweza kuwa masaa 8,12,24 nakuendele...

Ratiba hiyo utachagua ule nini...maana yake kuna baadhi ya milo utaacha kula...

Halafu mimi siyo Kaka Mkuu[emoji2]
Nimekuelewa sana...Samahani kwa kuchanganya jinsia...
 
UNaweza kuenda dakika 20 na bado usimfikishe,na pia jua tu keamba hata hao vimbaumbau wanalia na kuwahi kufika kileleni.

Matatizo binafsi uliyonayo usitupie lawama uzito wako,uzito hauna mahusiano na kuwahi kileleni.

NIJE KWEMYE MADA HUSIka.

1.jua tu kwamba hakuna chakula ambacho kinakufanya uwe mwembamba au mneno,vyakula vyote ni sawa.

2.kinachokufanya uoungue unene ni ile hali ya mwili kutumia mafuta yaliyohifadhiwa na kuyafanya ndio chanzo cha nishati,hayo mafuta ama (adipose tissue,fats) ndio yanakufanya uonekane mnene kama vile kitambi,manyonyo,mapaja na mikono hizo ndio sehemu mafuta hukaa sana.

so inshu kubwa ni kutafuta namna ambayo mwili utayatumia hayo mafuta kama chanzo cha nishati,..

Na je ni wakati gani mwili hutumia mafuta hayo ? Ni wakati ambao chakula cha tumboni hakitoshi kusambaza nishati mwilini.

JE ni kipi kitafanya chakula cha tumboni kisitoshe ?

a)kwa kufanya mazoezi makali kama kukimbia n.k huku ukila mlo wa kawaida ama ukipunguza kidogo,hiyo itafanya mwili utake nishati zaidi ili kufidia yale mazoezi.

B)usiwe unakula ovyo,yani unaweza amua ukala saa 8 mchana na unakula chakula chochote kwa kiasi kidogo tu then kula tena saa moja ausiku ama kesho,hiyo itafanya mwili uhitaji chakula ili upate nguvu na hapo ndio mafuta ya ziada yatachomwa na kwa baada ya muda utaanza kuona matokeo.

3.Discipline.Lazima uwe na msimamo wa kusimamia malengo yako lasivyo utaishia njiani.
Kaka Nimekuelewa sana sana sana...
 
Khabari zenu,

Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.

Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.

Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.

Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).

Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.

Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.

Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.

Uzi na picha.

View attachment 2646189
Maisha umeyapatia ndio maana ungekuwa saidia fundi wala usingekuwa na futa uzembe.
Kula mlo mmoja tuu kwa siku na tembea nusu saa kila leo utapungua fasta usisahau na maji mengi. Achana na chips na pombe na majuice
 
Maisha umeyapatia ndio maana ungekuwa saidia fundi wala usingekuwa na futa uzembe.
Kula mlo mmoja tuu kwa siku na tembea nusu saa kila leo utapungua fasta usisahau na maji mengi. Achana na chips na pombe na majuice
One meal a day akiweza kuona ni kawaida atadnjoy hiyo life style.

Kuna wajanja wanaita kushinda na njaa yani OMAD wanaitia majina mabaya ilimradi mtu akiifanya aone anateseka.

Lakini uukweli ni kwamba miili yetu kula mjlo mitatu tunafosi tu ila mlo mmoja kwa siku unatosha sana.(depends na activity ya mtu)
 
Punguza kula vyakula vya wanga na mafuta mengi, na pia usiku jitahidi uwe unakula matunda tu au mboga mboga hii inasaidia kwa haraka sana
 
Kopa benk utakuja nishukuru
ANaweza kukkpa lakini skawa anakatwa kwenye mshahara(muajiriwa) hivyo hatooungua.

Akope then awe ni mfanya biashara anayetakiwa kurejesha kiasi fulani kutoka kwenye biashara hapo anapungua pia.

Ila kuna watu wakiwa na matatizo eananenrpa kwa sababu kuna ambao wakiwa na stress miili yao inataka kula anytime so hao watakuwa vibonge
 
Yaani Unywe Konyagi Ndiyo Mwili Upungue, Halafu Uvute Bangi
Ukatekeleza . Usiwe Kijana Wa Namna Hiyo
Kwenu Mna Huo Unene Ama Imetokea Kwako
 
Back
Top Bottom