Nahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana

Nahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana

Hayo mambo ya kupunguza miili sisi wanawake ndo ma proo wa hizo kazi.usijali hapo tatizo limeisha nakupa mwezi mmoja tu utakuwa umebaki njiti.we ukiamka asubuhi chemsha maji sagia tangawizi kiasi chuja kwenye kikombe kamulia limao kunywa .usinywe chai kabisa mchana unaweza kula kidogo tu na jioni kidogo pia.cha msingi we sahau kuhusu chai achana na soda na vilevi . Mwezi mmoja tu
Nb hayo maji yenue tangawizi unywe yakiwa ya umoto kiasi cha wewe kuweza kunywa namaanisha yasipoe.angalizo usichemshe yakiwa na limao limao kamulia yakiwa tayari yanajoto unaloweza kunywa then kunywa
 
Khabari zenu,

Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.

Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.

Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.

Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).

Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.

Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.

Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.

Uzi na picha.

View attachment 2646189
Lakini pia unaweza kuwatafuta forever living wana program inaitwa C9 itakufaa sana.. Japo bei imechangamka
 
Khabari zenu,

Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.

Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.

Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.

Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).

Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.

Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.

Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.

Uzi na picha.

View attachment 2646189
Ogelea utaisha mwenyewe
 
Vyakula vyako na vinywaji vyako ndiyo wabaya wako nambari moja. Ukiweza kutawala ulaji wako tatito lako limekwisha. Jiangalie ulaji wako na unywaji wako. Kuna vitu kama wali, chips, nyama, soda/juice, enegy, bia, nk.. Kama unatumia sana anzia hapo kurekebisha.
NB; HUWA NAAMINI NI UPUMBAVU KUFANYA MAZOEZI ILI UPUNGUE MWILI WAKATI UNAENDELEA KUONGEZA KULA/KUNYWA.
 
Mkuu mtafute Dr Boaz mkumbo Instagram soma mafundisho yake google elsewhere ufanye kifupi uchawi ni wanga na sukari nilikuwa na kg 138 now Nina 72 nikiwa poa
 
Mwili wa kawaida tu huo., Punguza kula vyakula vya Wanga, Mafuta... Kula asubuh na usiku... Mazoez sio lazima kilasiku jitahid ×3 kwa wiki...
 
BMI pekee ndo inaweza kukuonesha umepungua au umeongezeka, macho si kipimo sahihi! Sikushauri uongezeke kg!
Zaidi ya mara 2 nimeenda kwa wataalamu wa lishe na hiyo sijui calculation ya BMI nilishafanya,ikaonekana Niko underweight.Umri,urefu haviendani na kilo zangu
 
Khabari zenu,

Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.

Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.

Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.

Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).

Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.

Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.

Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.

Uzi na picha.

View attachment 2646189
Umewahi kufunga..? Yani fasting
 
Kama uko serious kweli na kupungua, nenda Google, search "50 Cent liquid diet" utaona jamaa alivyopungua kwa kula liquid foods only for nine weeks, lakini pia alikua anafanya mazoezi masaa matatu kwa siku. So na wewe utaongeza mazoezi kidogo maana huyu alifanya hivyo kwa kuwa alikua ana act kama mgonjwa wa cancer kwenye movie yake ya Things fall apart. Ukishafika your desired weight unaanza kula kidogo kidogo na zoezi usiache. Mimi nafanya hii sasa hv, nilikua na 115kgs, in three weeks nimekata tano tayari.
Screenshot_20230604-213525_1.jpg
 
Back
Top Bottom