Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
piga mazoezi ya nguvu kufuta machuchu ayo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nb hayo maji yenue tangawizi unywe yakiwa ya umoto kiasi cha wewe kuweza kunywa namaanisha yasipoe.angalizo usichemshe yakiwa na limao limao kamulia yakiwa tayari yanajoto unaloweza kunywa then kunywaHayo mambo ya kupunguza miili sisi wanawake ndo ma proo wa hizo kazi.usijali hapo tatizo limeisha nakupa mwezi mmoja tu utakuwa umebaki njiti.we ukiamka asubuhi chemsha maji sagia tangawizi kiasi chuja kwenye kikombe kamulia limao kunywa .usinywe chai kabisa mchana unaweza kula kidogo tu na jioni kidogo pia.cha msingi we sahau kuhusu chai achana na soda na vilevi . Mwezi mmoja tu
huyo ni mazoezi huoni machuchu yamechomozaSidhani ,nilikuwa kule,mwanzoni mwa kozi nilipima uzito nikawa na kg56 nimemaliza kozi nikiwa na kg 64,sikuwa mtegeaji sema lishe ya kule ni nzuri sana ,so wakati mwingine sidhani kama ni suruhu ya unene wa huyu jamaa
Lakini pia unaweza kuwatafuta forever living wana program inaitwa C9 itakufaa sana.. Japo bei imechangamkaKhabari zenu,
Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.
Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.
Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.
Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).
Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.
Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.
Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.
Uzi na picha.
View attachment 2646189
Ogelea utaisha mwenyeweKhabari zenu,
Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.
Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.
Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.
Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).
Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.
Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.
Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.
Uzi na picha.
View attachment 2646189
Huyo ni lishe, abadili mpangilio wa menuhuyo ni mazoezi huoni machuchu yamechomoza
BMI pekee ndo inaweza kukuonesha umepungua au umeongezeka, macho si kipimo sahihi! Sikushauri uongezeke kg!dah! Wakati Mimi ninnapambana walau niongeze hata kilo 2 tu,huku kuna mwingine anatamani kupunguza kilo.
Kila la heri mkuu,kama kilo zingekuwa zinahamishika,ningeomba unipunguzie
Huu ushauri umeufanyia kazi kwa muda gani...?niwe nakunywa konyagi na nivute bangi
na mazoezi makali huo mwili uko mviringo sanaHuyo ni lishe, abadili mpangilio wa menu
Zaidi ya mara 2 nimeenda kwa wataalamu wa lishe na hiyo sijui calculation ya BMI nilishafanya,ikaonekana Niko underweight.Umri,urefu haviendani na kilo zanguBMI pekee ndo inaweza kukuonesha umepungua au umeongezeka, macho si kipimo sahihi! Sikushauri uongezeke kg!
Mbona kuongezeka simple sana...Zaidi ya mara 2 nimeenda kwa wataalamu wa lishe na hiyo sijui calculation ya BMI nilishafanya,ikaonekana Niko underweight.Umri,urefu haviendani na kilo zangu
kuna watu mwili hauitiki kabisa hata ulishe kitu gani hadi unaweza hisi kuna mkono wa mtu au kitu ganidah! Wakati Mimi ninnapambana walau niongeze hata kilo 2 tu,huku kuna mwingine anatamani kupunguza kilo.
Kila la heri mkuu,kama kilo zingekuwa zinahamishika,ningeomba unipunguzie
umemeza mfuko niniZaidi ya mara 2 nimeenda kwa wataalamu wa lishe na hiyo sijui calculation ya BMI nilishafanya,ikaonekana Niko underweight.Umri,urefu haviendani na kilo zangu
Umewahi kufunga..? Yani fastingKhabari zenu,
Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.
Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.
Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.
Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).
Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.
Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.
Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.
Uzi na picha.
View attachment 2646189
Mwezi uliopita nilipima uzito,angalau nimeongezeka kilo 1,Nina 40kgkuna watu mwili hauitiki kabisa hata ulishe kitu gani hadi unaweza hisi kuna mkono wa mtu au kitu gani