Pungua mzee usije ukaugua kisukari maana hicho ata mbususu huwezi gegeda.Sawa kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pungua mzee usije ukaugua kisukari maana hicho ata mbususu huwezi gegeda.Sawa kaka
aisee wewe ni keMwezi uliopita nilipima uzito,angalau nimeongezeka kilo 1,Nina 40kg
Ndio.aisee wewe ni ke
Kumbe wee kiportableMwezi uliopita nilipima uzito,angalau nimeongezeka kilo 1,Nina 40kg
Naamin uligraduate swala lako ukiwa natatizo jingine la ulcersUnaweza kula mala moja kwa siku.
Nilifanya hii kitu mimi, kula mala moja kwa siku.
Saa moja jioni nikila ndio imeisha hiyo hadi kesho tena saa moja jioni.
Mwezi mmoja tu suruali zote ziliacha kunitosha.
kiasi mkuuKumbe wee kiportable
wewe ndio safi sasa yani nakubebe juju mechi inanza kitandani hadi jikoni jukwaju hakuna kutua chini.Ndio.
Niliwahi kuleta Uzi hapa jukwaani kuomba ushauri ni kwa jinsi gani naweza kuongez uzito
Ah wee very very carriable kama sio portable yaani full rahakiasi mkuu
Aisee hatariwewe ndio safi sasa yani nakubebe juju mechi inanza kitandani hadi jikoni jukwaju hakuna kutua chini.
pole lakini jaribu kunywa uji wa lishe ata utakusaidia
Doh pole mkuuKhabari zenu,
Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.
Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.
Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.
Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).
Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.
Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.
Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.
Uzi na picha.
View attachment 2646189
Mtoto wakike unajiitaje majina yakienyeji hivyo ona sasa unakosa bahati huko pmNi ratiba ya kula chakula ambayo unajiwekea baada ya masaa kadhaa....
Inaweza kuwa masaa 8,12,24 nakuendele...
Ratiba hiyo utachagua ule nini...maana yake kuna baadhi ya milo utaacha kula...
Halafu mimi siyo Kaka Mkuu[emoji2]
Bro kama unatumia pombe, bhasi acha.Khabari zenu,
Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.
Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.
Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.
Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).
Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.
Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.
Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.
Uzi na picha.
View attachment 2646189
Yah,Niko kwenye ratiba ya uji wa lishe,kuna mdau pia alinishauri hilowewe ndio safi sasa yani nakubebe juju mechi inanza kitandani hadi jikoni jukwaju hakuna kutua chini.
pole lakini jaribu kunywa uji wa lishe ata utakusaidia
Au atafute kademu kenye miaka 15 hapo. Afanye hata zoezi la kuwa anakiwinda kukutana nacho.Mcheki Pastor mckenzie wa Kenya,anakondesha fasta tu.
pata uji wa lishe wenye karanga mbegu za maboga mahindi ya njano ulezi mtama kidogo soya uweke prestige blue band ,maziwa fresh,asali pata na kipande cha mkate na yai la kukanga asubui saa nne pata kitu chochote kama mtori,punguza kidogo matembezi kwa mguu ..mchana kula kawaida weka na juice ya embe saakumi pata nusu lita ya chai ya maziwa saa moja na nusu pata msosi wako kawaida .miezi mitatu utanambiaYah,Niko kwenye ratiba ya uji wa lishe,kuna mdau pia alinishauri hilo
Huo ni mwili wa chakula tuuu.yaani wewe ni mtu unayependa kula kula sana.Matibabu yako yapo hapo tu wala usitafute mchawi.na ukichelewa tuu kuzingatia utapata matatizo mengine soonKhabari zenu,
Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.
Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.
Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.
Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).
Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.
Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.
Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.
Uzi na picha.
View attachment 2646189