Nahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana

Kwa mujibu wa picha yako ni kama ulikuwa bonge sana mwili ukashuka

Kuindoa hiyo ndambi na kifua
Unahitaji mazoez sana ngozi ijivute

Hapo sasa inabid lishe pia izingatiwe sana
 
Mimi nadhani maeneo unatakiwa kufocus ni mawili hapo, kwanza Gym, kubali kuingia gharama ya gym ya kisasa ambayo watakupa trainings za kukata huo mwili na kukupa athletic body maana una mwili mzuri tu wa kukatika na kutengeneza mbavu.

Pili tazama sana ulaji wako ufanye kucut down Calories intake na fats.
 
Anza kwa kuangalia menu yako kisha mazoezi

Japo kuna wale unene upo tu kwenye koo na family zao
Kama na wewe kwenye uzazi wenu mpo hivyo wanene option iliyopo ni kujikubali
Mambo?!
 

Kuhusu mazoezi sio lazima uende gym,unaweza ukafanya nyumbani kwako kama dakika 30 unaruka kamba,push-ups kidogo n.k au ukatembea jion dakika 30 tu zinatosha.
 
I agrree...milo mitatu ni kwa saidia fundi na high performance athletes lakini sie wakukaa tunachapa marimba ya mzungu hapa jf au ofisini mlo mmoja tuu unatosha
Yap na hata saidia fundi anaweza kula milo miwili.

Kitu pcha msingi kwa watu wanaofanya kazi ngumu ni maji mengi,wengi hawanywi maji kisha wakiumwa na vichwa wanasema njaa,anapoteza maji mengi so ishu ya msingi ni maji mengi na chakula kiasi
 
Nimekuelewa mkuu...
 
Lakini pia unaweza kuwatafuta forever living wana program inaitwa C9 itakufaa sana.. Japo bei imechangamka
Yeah nai0naga sana ila bei kubwa sana na kipat0 changu si rafiki kiiv0..
 
Fact...
 
Inamaana simu yako haina kitufe cha O mpaka uandike 0 sidhan kama kuna kupungua kwa uandishi huu
Wewe ni mla chips siyo bure
 
Kopa kausha damu utapungua faster 🀣

Jokes aside.. Huna unene wa kutisha bado, ni vyema umeanza kuchukua tahadahri sasa.

Punguza kula wanga na mafuta. Kula milo miwli, asubuhi chai kidogo, mchana piga fresh shiba kabisa, usiku usile kunywa chai au matunda kidogo sana. Hapa mwanzo lazima uwe mgumu.

Kama huna muda wa mazoezi jaribu kupiga push ups kila siku na pull ups kama mazingina yanaruhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…