ha ha ha ha... mkuu Kaizer nipo kwenye utaratibu wakumtumia figganigga kama mdhamini wa mjadala hapa na ninaamini kwa uwepo wa Mrembo by Nature hata kataa! sasa wewe unavyomuulizia unataka kunifukuzia mdhamini..
dah ngoja nisepe nitamtafura kwa muda wangu move ya figganigga nimeiona toka jana..kumbe ndo unataka umwuzie kesi? leo unaenda uwanja wa taifa nini hahaha
kuwa mpole wangu..afu hukunitaarifu kama ungehudhuria huu mjadala! ngoja, kuna washiriki wengine watakua active leo! yesterday was Mrembo by Nature..then litle bit Smile na Heaven on earth
jamani nimesema napita tu,samahani wangu.tchaooooooo......,
wife dont stay far!!
ntakaaje wakati sielewi,itabidi nipate class kwanza
okay! honey..
ni mjadala wa wazi, na hapa wewe hauhusiki sana, mi nahusika kama host tu, ila objectives za mjadala zitawekwa mwishoni..
nimejishtukia babe ndomana nikasema napita, haya kwaheri,endeleeni kujadili ngoja niende kunakonihusu
teh teh teh..kuna sehemu nitakuhitaji baadae..usisite kuja!
mkuu akiwepo Mrembo by Nature hiyo sio kesi tena sabu ni jukumu langu kuhakikisha analindwa,anapata anachotaka na kuhakikisha muda wote anatabasabu. Uwanja wa taifa kwenda ni muhimu. vipi ulikua ushaanza kumkodelea macho Mrembo by Nature?. miadah ngoja nisepe nitamtafura kwa muda wangu move ya figganigga nimeiona toka jana..kumbe ndo unataka umwuzie kesi? leo unaenda uwanja wa taifa nini hahaha
jamani nimesema napita tu,samahani wangu.tchaooooooo......,
wife dont stay far!!
ntakaaje wakati sielewi,itabidi nipate class kwanza
okay! honey..
ni mjadala wa wazi, na hapa wewe hauhusiki sana, mi nahusika kama host tu, ila objectives za mjadala zitawekwa mwishoni..
nimejishtukia babe ndomana nikasema napita, haya kwaheri,endeleeni kujadili ngoja niende kunakonihusu
teh teh teh..kuna sehemu nitakuhitaji baadae..usisite kuja!
bila shaka wangu
mkuu akiwepo Mrembo by Nature hiyo sio kesi tena sabu ni jukumu langu kuhakikisha analindwa,anapata anachotaka na kuhakikisha muda wote anatabasabu. Uwanja wa taifa kwenda ni muhimu. vipi ulikua ushaanza kumkodelea macho Mrembo by Nature?. mia
kwa Mrembo by Nature inabidi uobey tu hamna jinsi coz usipo obey matokeo yake itakua kung'olewa kucha na meno bila ganzi. hahahaaa...!!!. miahahahah mkuu figganigga, "if you obey all the rules.." mia