Nahitaji mjadala wa wazi na wafuatao.. Smile, Heaven on earth na Mrembo by Nature..kwanza!

Nahitaji mjadala wa wazi na wafuatao.. Smile, Heaven on earth na Mrembo by Nature..kwanza!

ha ha ha ha... mkuu Kaizer nipo kwenye utaratibu wakumtumia figganigga kama mdhamini wa mjadala hapa na ninaamini kwa uwepo wa Mrembo by Nature hata kataa! sasa wewe unavyomuulizia unataka kunifukuzia mdhamini..

dah ngoja nisepe nitamtafura kwa muda wangu move ya figganigga nimeiona toka jana..kumbe ndo unataka umwuzie kesi? leo unaenda uwanja wa taifa nini hahaha
 
Last edited by a moderator:
dah ngoja nisepe nitamtafura kwa muda wangu move ya figganigga nimeiona toka jana..kumbe ndo unataka umwuzie kesi? leo unaenda uwanja wa taifa nini hahaha

uwanja wa taifa kuna nini? au ndiyo miaka 49 ya muungano?
 
Last edited by a moderator:
ntakaaje wakati sielewi,itabidi nipate class kwanza

okay! honey..
ni mjadala wa wazi, na hapa wewe hauhusiki sana, mi nahusika kama host tu, ila objectives za mjadala zitawekwa mwishoni..
 
okay! honey..
ni mjadala wa wazi, na hapa wewe hauhusiki sana, mi nahusika kama host tu, ila objectives za mjadala zitawekwa mwishoni..

nimejishtukia babe ndomana nikasema napita, haya kwaheri,endeleeni kujadili ngoja niende kunakonihusu
 
dah ngoja nisepe nitamtafura kwa muda wangu move ya figganigga nimeiona toka jana..kumbe ndo unataka umwuzie kesi? leo unaenda uwanja wa taifa nini hahaha
mkuu akiwepo Mrembo by Nature hiyo sio kesi tena sabu ni jukumu langu kuhakikisha analindwa,anapata anachotaka na kuhakikisha muda wote anatabasabu. Uwanja wa taifa kwenda ni muhimu. vipi ulikua ushaanza kumkodelea macho Mrembo by Nature?. mia
 
Last edited by a moderator:
jamani nimesema napita tu,samahani wangu.tchaooooooo......,

wife dont stay far!!

ntakaaje wakati sielewi,itabidi nipate class kwanza

okay! honey..
ni mjadala wa wazi, na hapa wewe hauhusiki sana, mi nahusika kama host tu, ila objectives za mjadala zitawekwa mwishoni..

nimejishtukia babe ndomana nikasema napita, haya kwaheri,endeleeni kujadili ngoja niende kunakonihusu

teh teh teh..kuna sehemu nitakuhitaji baadae..usisite kuja!

bila shaka wangu

Kumbe manka81 na Sandeni ni mtu na mtuwe, Baba V ana hizi habari, na je Asprin alimkagua?
 
Last edited by a moderator:
Tukutane Buguruni twende Taifa umesikia Sandeni? Kiingilio nitalipa

Mkulu mie mtanikuta hapa Makirikiri pub kwa Mnyamani afu tuelekee pamoja taifani ... BTW. wewe wa jangwani au msimbazi!??
 
Last edited by a moderator:
Aaah...kweli Baba V umeruhusuje mjadala huu uendelee?

Naomba muongozo wa spika pale mbunge atakapopoteza muda wa bunge kujadili muswada usio na mashiko?

Pia ibara ya sita inakataza malipo kwa fedha za kigeni. Walau hata ingekuwa £ au € ....

Mwisho kabisa naunga mkono hoja mia kwa mia ila nitatoa shilingi nisipopata majibu kutoka kwa Sandeni na spika Baba V. 99
 
Last edited by a moderator:
Kumbe manka81 na Sandeni ni mtu na mtuwe, Baba V ana hizi habari, na je Asprin alimkagua?

Hawa hawajapita kabisa ofisini kwangu, labda ndo wale waliotapeliwa na mwenyekiti wa kichina manoah, afu kwa rekodi zilizopo ni kwamba manka81 hajapita chumba cha ukaguzi.... Mashaka ni mengi kwa wawili hawa na mimi kama mwenyekiti sitambui couple yao hadi pale vigezo na masharti vitakapozingatiwa...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom