Nahitaji mjadala wa wazi na wafuatao.. Smile, Heaven on earth na Mrembo by Nature..kwanza!

Nahitaji mjadala wa wazi na wafuatao.. Smile, Heaven on earth na Mrembo by Nature..kwanza!

Saa ngapi sasa bahasha inawekwa? kwanza hapa kuna pesa ya tokea asubuhi hadi muda huu, na muda huu ni usiku so unakuwa na special package kumbuka

ndani mna $150 na baada ya mjadala figganigga atakuwa na la ziada.. tuendelee tafadhali!!
 
Last edited by a moderator:
Nimeshindwa mimi, hela gani hiyo sasa? siku yangu nzima nipate shilingi 150?? alafu hako kaalama kwenye hicho kiwango ndio nini? wewe hauko serious kweli?

niko serious na sijasema kuwa hyo ni shilingi 150..
 
Back
Top Bottom