Mkuu mi ni mwembamba sema c kiviile Nina ka no8 ivi kwa mbali. Sema nimeanza kunenepa tumbo ndio shida sasaPunguza huo mwili uwe kipotable kwelihawapendi miili mikubwa hiyo harafu tembelea hotel za ufukweni utafanikiwa kila la kheri bibie
hahaha si twakutaka wewe bhanaChukuen hata wajaluo
Mimi ni mzungu naomba niunganishe kwake![emoji28][emoji28][emoji28]hahahahaha najikuta nacheka tu jaman huyu mtoa mada ana aman sasa nimefurahi
virginity big up na kigauni chako nimekipenda
AsanteeJifunze vizuri lugha ya malkia, ishi kwa kujitegemea, penda uafrika wako asilia na kisha jichanganye sana na wazungu. Ni lazima tu utapata mzungu wa kukutamani kukutafuna na hapo ndipo utaolewa naye.
Ukifanikiwa, ulete feedback hapa.
hahaha vibaya hivyo mpendwa[emoji125] [emoji125] [emoji125] nami cwatakii
Weupe[emoji3] [emoji3]Unataka wa njano ama.