Nahitaji msaada wa kisheria nahisi kunyanyaswa na mwanamke kwenye usafiri wa uma

Nahitaji msaada wa kisheria nahisi kunyanyaswa na mwanamke kwenye usafiri wa uma

Dunga dunga hao , wenye magari mnakosa uhondo asee !! Sasa ndo umkute mrembo neema za Bwana zimemjalia yaan zigo 8Gb halafu kama kaamua kukususia basi baki nalo ! 🤣🤣🤣

Jesus see the people you died for 🤣
Mtoa mada kasusiwa anenda kushtaki..kanyanyaswa
 
Nimekumbuka nliwahi panda mwendokasi mda umeenda kidogo..nkapanda gari Iko full..mi na mkaka mmoja kanizidi kimo tukajikuta tumesimama eneo la karibu na mlangoni cm chache tunatazamana uso Kwa uso mweh!
Ma mkwe, haukutamani kudendeka kweli.. 😂🤣
 
Back
Top Bottom