makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Basi mama mkwe. 🤣Hebu ba mkWe acha kunifundsha uhuni😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mama mkwe. 🤣Hebu ba mkWe acha kunifundsha uhuni😄
Yes. Nakumbuka ile siku. Yule ni mimi. Habari za siku nyingi wee mdada??..Nimekumbuka nliwahi panda mwendokasi mda umeenda kidogo..nkapanda gari Iko full..mi na mkaka mmoja kanizidi kimo tukajikuta tumesimama eneo la karibu na mlangoni cm chache tunatazamana uso Kwa uso mweh!
Halafu una sema una temaga nondo😂😄Mambo hayo pumzi nene na tamu, enhe hamkupeana namba nyie wazinifu wawili 😂?
Salama hivi ulishukia wapi?Yes. Nakumbuka ile siku. Yule ni mimi. Habari za siku nyingi wee mdada??..
Pole sana. Ni mimi. Nisamehe..Alikua kanipita kimo mi nimeinama naangalia madirishani.ye Kuna mda kumbe ananiangalia.nami nkainua uso nakuja ananiangalia Tena wale wanaojiamini.
Ilibidi niendelee kuinama
Niteme nondo muda wote kwani mi kiwanda cha nondo?Halafu una sema una temaga nondo😂😄
Mwambie mwamba asome kwanza, lishangazi lake napambana asinikute nko broke😊Mbona mwanangu othman anakuzimia?
Kituo nimesahau kwa maana sio mkazi wa Dar. Nilikuja kwa emergency ya siku moja tu..Salama hivi ulishukia wapi?
Wewe mpe pole mwenzio kabakwaAmakweli penye miti hakunaga wajenzi...🤣
Kumbe wewe tayari ulishamuona mchumba ila yeye akashindwa kujiongezaNahisi ni hii sura yangu kama chikuntalamba sukari Yao.
Inanikoseaha wachumba
Ko mzee una shauri, waki nisogezea msambwanda nimalize kabisa ??Amakweli penye miti hakunaga wajenzi...🤣
😊Kumbe wewe tayari ulishamuona mchumba ila yeye akashindwa kujiongeza
Pole kwa kupoteza mchumba ako 😂😊
Acha ba mkwe...nliona niiname tu maana kuangaliana nae ni kukaribisha majaribu
Sina ujasiri huoUngeomba namba tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unamwambia akadunge kwingineMwendokasi unaraha yake unanuna wakati wa kuingia ila safari ikishaanza kuna vitimbi humo ndani mpk unasahau hasira ya kutopanda tena mwendokasi.......jaribu za mbezi jioni kutokea kkoo utafurahi mwanaume unatoka kazini smart unapakwa lipstick kwenye mwendokasi skilizia balaa lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi kwa mfano umemuelewa mtu alafu unaona kabisa hakuna chance nyingine ya kuonana utaomba namba au utaenda na maumivu nyumbaniSina ujasiri huo
Acha tu,kuna mdada juzijuzi kamng'ang'ania kaka wa watu mabegani mpk wakadondoka ile ameamka yule kaka kakunja ngumi anageuka aliemrukia ni mdada afu anatabasamu na kumuomba msamaha kimkakati ikabidi akaushe ila angekua mwanaume mwenzie angemkata makofi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unamwambia akadunge kwingine