Nahitaji msaada wa kisheria nahisi kunyanyaswa na mwanamke kwenye usafiri wa uma

Nahitaji msaada wa kisheria nahisi kunyanyaswa na mwanamke kwenye usafiri wa uma

We mtoto wa mbeya gongo la mboto umepajuaje! Au unasikia sikia tu Gily Gru huyu dogo kumbe aliwahi kukanyaga dar 😂😂😂 asee dunia haiishi maajabu
Ehee alifika wapi? gongo la mboto?
Screenshot_20250111_153618_Gallery.jpg
 
Ungechukua namba mkamalizana ki-mtaani mtaani tu, mambo ya kushitakiana sio poa
 
Back
Top Bottom