Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,531
- 5,787
Aache ujinga 🤣 angeita Bolt ila huku kwenye usafiri huu ni utaratibu ndo maana mtoto mzuri aliomba nafasi !Mtoa mada kasusiwa anenda kushtaki..kanyanyaswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aache ujinga 🤣 angeita Bolt ila huku kwenye usafiri huu ni utaratibu ndo maana mtoto mzuri aliomba nafasi !Mtoa mada kasusiwa anenda kushtaki..kanyanyaswa
Acha ba mkwe...nliona niiname tu maana kuangaliana nae ni kukaribisha majaribuMa mkwe, haukutamani kudendeka kweli.. 😂🤣
Mambo hayo pumzi nene na tamu, enhe hamkupeana namba nyie wazinifu wawili 😂?Hapana.nlienjoy.
🤣 kenge kabisa ati dungadunga!NDUGU YANGU CHA KWANZA SHUKURU SANA HUO MCHEZO UMEKUPITIA KUSHOTO ILA UNGEJIKANYAGA HADI UKAKOJOA NAKWAMBIA UNGEKUWA MWANAFAMILIA MPYA WA DUNGA DUNGA MAANA BAO LA KUDUNGA NI TAM KULIKO LA KUTO.... HIYO ISHU IPO KAMA MADAWA YA KULEVYA IKIKUKOLEA MKE UNAWEZA KOSA HAMU NAE ALAFU HUO MCHEZO UNA WADAU WA JINSIA ZOTE WAKIKE NA WAKIUME KUNA WANAWAKE HUWA WANALULETEA KABISA SIJUI WANAKOJOAGA AU NI NINI SEMA SHUKURU SANA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] kenge kabisa ati dungadunga!
Aache ujinga 🤣 angeita Bolt ila huku kwenye usafiri huu ni utaratibu ndo maana mtoto mzuri aliomba nafasi !
🤣🤣 Hakuna kabisa Kila mtu njia yakeMambo hayo pumzi nene na tamu, enhe hamkupeana namba nyie wazinifu wawili 😂?
Kwani ma mkwe lile tangazo la ujanani usione soo ushalisahau, ungepeleka mdomo tu, kwani sh ngapi 😂🤣Acha ba mkwe...nliona niiname tu maana kuangaliana nae ni kukaribisha majaribu
Ba mkWe..si ningesababisha matatizo halafu mchana kweupeKwani ma mkwe lile tangazo la ujanani usione soo ushalisahau, ungepeleka mdomo tu, kwani sh ngapi 😂🤣
Hiyo ni stata tu ma mkwe, mngeweza kushukia njiani, mwendokasi nauli yenyewe haizidi buku. 😂🤣Ba mkWe..si ningesababisha matatizo halafu mchana kweupe
23Una umri gani mkuu? Ili niweze kuandaa mashitaka vizuri.
Sema mna roho ngumu kweli 😂🤣🤣 Hakuna kabisa Kila mtu njia yake
Dah Leo nusu albino a.k.a kubwa la manusu, ume tema nondo aisee😆Sasa mkuu ulitaka alivofosi kupita aende wapi na ulishasema kuwa basi lilikuwa limejaa? Ukiwa hutaki kupata usumbufu kwenye usafiri wa umma ni vyema kutumia usafiri wako binafsi ndio hutopata kash kash kama hizo.
Kuna siku jioni natokea magomeni kanisani naelekea kimara nimepanda mwendofyade imejaa sana nikawa nimesimama jirani na dada mmoja mbandika kope na kucha akawa ananisukuma sukuma tusigusane utadhani humo ndani tupo wawili tu hadi waliokuwa wamekaa wakawa wanashangaa, kama kawaida yangu ni mkimya na mvumilivu sana nikajisemea hapa siongei chochote hadi pale atakapologwa na kufungua mdomo wake.
Wakamloga bhana kamdomo, akaniambia kaka usiniguse guse sitaki kabisa mwishowe tuje tubanduane kucha hapa, nikaona huyu namlea nikamwambia dada ungetaka kuepuka kuguswa guswa ungerequest bolt au ungetumia usafiri wako akajibu uo usafiri ulininunulia wewe? Nikamjibu hilo sipaswi kulijua mwendokasi haina VIP kwahiyo tulia kwa tulivyojazana vumilia ukishindwa shuka.
NB: unapochukua uamuzi wa kutumia usafiri wa umma kama daladala na mwendokasi hasa kwa huko dasalama ni vyema kabisa kuvumilia uhalisia wa usumbufu wa usafiri huo, kubanana ni kawaida, kukanyagwa, kusukumwa, kunukiana jasho na mengineyo. Ukija na uzungu wako lazima upate shida zaidi maana kutumia tu aina hiyo ya usafiri tayari ni shida.
🤣🤣 KivipiSema mna roho ngumu kweli 😂
Sijawai tema upupu, hapa n nondo tu.Dah Leo nusu albino a.k.a kubwa la manusu, ume tema nondo aisee😆
Huyo mwamba aliachaje namba zako🤣🤣 Kivipi
Hebu ba mkWe acha kunifundsha uhuni😄Hiyo ni stata tu ma mkwe, mngeweza kushukia njiani, mwendokasi nauli yenyewe haizidi buku. 😂🤣
Huyo mwamba aliachaje namba zako
Huo ni ukatili kabisa fuatilia na usiacheYawezekana nikaoneoana mjinga ila nipo sahihi kabisa maana hata nchi za wazungu ukimnyanyasa mtu kimapenzi unafunguliwa mashtaka kumnyanyasa mtu kujinsia
Nikiri huu usafiri wa Mwendokasi ni mara chache sana kuupanda ila ikitokea emergency basi mara moja moja nakuwa sina jinsi ila juzi usiku mida ya saa 1 jioni wakati natokea kivukoni kuelekea Morocco kulikuwa na shida ya magari, lilipokuja Gari la moroco tukawa tumejaa sana hata sehem ya kugeuka shida basi Gari lilipofika Fire wakashuka watu wachache ikapatilana kinafasi wakaingia watu wachache na mmoja wapo ni mdada kwa sura sikumuona maana alikuwa amejifunika ila nahisi ana asili ya watu wa asia maana mikono ilikuwa myeupe kabisa
Alipopanda kanikuta mimi ndani ila akaniambia kaka naomba nipite mlangoni kuna wezi, mi nikamwambia hamna sehem ya kupita mbele yangu ila akafosi kupita alafu hakwenda mbali akakaa mbele yangu akawa amenibana na makalio yake kama kayaegemeza kwangu kwa kujiachia kabisa na kila nilipojaribu kujisogeza nikawa nakwama kila nikigeuka anajisogeza kwangu, nikajikuta nanyanyaswa kihisia na sipendi hayo mambo na mdada kajazia
Nimekuja kupata nafasi ya kugeuka magomeni kanisani Nipo hoi kwa manyanyaso maana alifanya kusudi ikabidi nimfuatilie akashuka mkwajuni , maana yangu nilitaka nijua hata anapokaa ikiwezekana nifungue kesi kama itawezekana kama wataalam wa sheria mpo mnisadie
Mbona mwanangu othman anakuzimia?Nahisi ni hii sura yangu kama chikuntalamba sukari Yao.
Inanikoseaha wachumba