Nahitaji msaada wa kuondoa uchawi na majini

sidhani hilo, hospitalini hawakuweza kungamua kiini cha mikono yangu kuparalyze

pia inauma nikiwa huko, walijaribu kuninyonga kwa kuuvimbisha ulimi nikashindwa kupumua daktari anakaa hapo kaduwaa
 
JESUS IS ONLY, ONLY THE HEALER WHO CAN HELP YOU.


come to Jesus with all your heart, give Him a chance to work on you, then the problem will end soon. You will be covered by the Blood of Jesus.


JESUS IS LORD!
 
Usilolijua ni kwamba hakuna mganga wa jadi anaejua kingereza, kama yupo basi ni tapeli.
 
Sorry! We ni Mtanzania?
 
Pole sana mkuu

Binafsi najua haya mambo yapo yamewai tokea kwa ndugu yangu yalimsumbua sana

Sijajua uko wapi lakin kuna M bibi mmoja Rombo kule wanapaita kwa kesemsii kwa habari za kusikia ni yuko vizuri kwa stuff kama yako. Naimani kuna wadau huku watakua wanapafahamu vizuri watakuelekeza location kama utakua tayari

Nafikiri ukifika kwake anaweza kukusaidia.
 

Ushauri wangu ...
Kama upo Dar nenda pale msikiti wa Tungi/temeke na umuulizie mtu mmoja anaitwa DARWESH/MUBA .ofisi yake ipo maeneo hayo hayo..
Kwa Hilo tatizo lako biidhillah litatatulika na wataomba kuondoka wenyewe.

Note: usidharau nenda mkuu ...utakuja kunishukuru na ujipange kigharama pia...
 
You're seal unasema kwa Mungu umefeli? Mungu yupi huyo au wakushona ihope humjui Mungu tafuta kumjua Mungu wa kweli anaeitwa NIKO AMBAE NIKO utajua habari zake unaenda kwa miungu ya kuchonga what do you expect pole
 
Una mkopo bank ? Una mkopo saccos ? Au tala au tigo nivushe ?


Kama unayo nenda kalipe haraka.
 
hapa watakuja walokole na wafia dini na kukuhubiria utadhani mapadre wenye shahada za theolojia

mimi nimetoa thread ya kutafuta utajiri wa ndagu, ila kuna mtaalam wangu mwingine yeye haja deal na utajiri bali ana deal na hilo eneo vizuri la kutoa uchawi na majini vizuri kabisa ..

nitakutumia namba yake inbox. pole sana.
 
We jamaa ni wakala wa Lucifer,Unatumika kusambaza imani potofu katika jamii ukijiona shujaa kumbe debe tupu.
 
mie niko kenya

gharama ingekua ipi kama mimi ni mwenyeji wa pale ili nijui nauli itakua vipi
 
We jamaa ni wakala wa Lucifer,Unatumika kusambaza imani potofu katika jamii ukijiona shujaa kumbe debe tupu.
niko tempted kusema jinsi nimeyasoma mapepo haya, unaweza kuyatumia kwa namna hio anayoisema, kwani nishawai tumiwa nia ya kutaka kufanya kitu kwa tamaa kubwa sana, ilhali ni kitu sikupendelea. ukipenda an unnatural will. ilibidi nikeme kwa kukataa, majini yakakimya na nia ikaisha

ikabidi nione kama wanaoyafuga majini kwenye biashara huwapa wateja hii tamaa ya kuspend dukani/biasharani kwake (kwa means ya majini) ili wamnunulie, in short, chochote binadamu hufanya ama huhisi, majini yanaeeza kucopy, hivo wenye kuyafuga wametumia Mambo hayo ya kuforce watu bila hiari yao au wao kujua ili wajinufaishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…