Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali, mpenzi wangu ana mimba

Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali, mpenzi wangu ana mimba

 
Nina mshkaji wangu yalimkuta haya[emoji23] nilishmktaza sana acha kuokota mademu wa ajabu ajabu hasikii.

Kaja kaokota mamantilie kapiga mimba paa[emoji1787] jamaa kalea mpaka kajifungua yule dem ,anamlipia kodi na matumizi ya mtoto sasa yule dem ana mdomo sana anajaribu kutumia nguvu nyingi ili yeye na mshakji waishi wote.

Dem anakuja ofsin kuleta ugomvi yaani ugomv wao ukianza huwa na kazi ya kuamua tu dem ni mkorofi balaa bas huwa zinapigwa ngum sio za kitoto yaan jamaa anajuta sna mpaka amekuwa ni wa kujitenga mawazo sana.

Wanaume tujiheshim sio kila mwanamke ni wa kumvua chupi
 
Kwa masikitiko makubwa, mchana huu Nimepokea taarifa ya "nahisi Ni mimba"

Ujuwe Nilikuwa nachukulia simple nikimuona mtu anashtushwa na taarifa Kama hii lakini leo nahisi kichwa kimewaka Moto na nimekosa utulivu Hadi kwa Mara ya kwanza nimetamani kunywa pombe.

Sijawahi kumpenda Bali Ni nyege ndiyo zimenikutanisha naye for one night, tukapima UKIMWI, tukatomb***

Sababu zinazonifanya niumize kichwa Ni kwamba;
1. Ni single maza alafu hakuniambia mapema

2. Ana sura mbovu, rangi siipendi, Hana shape na muda wote niliokaa naye hajawahi kuwa na mazungumzo yenye tija au maswali critical, Jambo linalonifanya nidhani kwamba Hana akili au future yeyote.

3. Anapafahamu ninapofanyia kazi hivyo nikizingua anaweza kunichoea kwa muajiri

4. Kutokana na uwembamba wake uliokithiri, Hana ladha yeyote, naweza nikaenda dakika 50 bila kukojoa tukiwa kwenye tendo, Hadi nivute taswira ya mwanamke mwingine ndipo nikojoe.

5. Umri kanizidi miaka miwili

Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali. Ila kutoa mimba nahisi itakuwa Hatia itakayonisumbua muda mrefu.
Subiri kulea mtoto bwashee
 
Kwa masikitiko makubwa, mchana huu Nimepokea taarifa ya "nahisi Ni mimba"

Ujuwe Nilikuwa nachukulia simple nikimuona mtu anashtushwa na taarifa Kama hii lakini leo nahisi kichwa kimewaka Moto na nimekosa utulivu Hadi kwa Mara ya kwanza nimetamani kunywa pombe.

Sijawahi kumpenda Bali Ni nyege ndiyo zimenikutanisha naye for one night, tukapima UKIMWI, tukatomb***

Sababu zinazonifanya niumize kichwa Ni kwamba;
1. Ni single maza alafu hakuniambia mapema

2. Ana sura mbovu, rangi siipendi, Hana shape na muda wote niliokaa naye hajawahi kuwa na mazungumzo yenye tija au maswali critical, Jambo linalonifanya nidhani kwamba Hana akili au future yeyote.

3. Anapafahamu ninapofanyia kazi hivyo nikizingua anaweza kunichoea kwa muajiri

4. Kutokana na uwembamba wake uliokithiri, Hana ladha yeyote, naweza nikaenda dakika 50 bila kukojoa tukiwa kwenye tendo, Hadi nivute taswira ya mwanamke mwingine ndipo nikojoe.

5. Umri kanizidi miaka miwili

Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali. Ila kutoa mimba nahisi itakuwa Hatia itakayonisumbua muda mrefu.
kama unaona ni mwembamba, siku akijifungua atanenepa, usiwaze
 
Sura uliyokuwa unaivuta ili ukojoe endelea kuivuta katika maisha yenu yote.
Huu mchezo wa kuwala mademu zetu kwa hisia za picha bila idhini UKOME
 
Halafu hapo anaenda kulaumiwa shetan wa watu buree.
 
[emoji1787][emoji1787]ndio mnaenda kuwa wazazi kaeni KWA kutulia kwahiyo ulivyokua unapereka moto ulidhani nini kinaenda kutokea?
Tatizo kijana ni mhanga wa matumizi ya bangi..... 🙃😁

36029e06c7d4016eafee6957c52b1bd4.jpg
 
Aaaaaahh shetani amepitaaaa....... ( in mbosso Khan & Costa tich voices.) Shetani audio...... 🙃😁
 
Starehe garama ndo garama zake izo sasa
Jiandae tu kua baba ndo uzuri wa kavu bila kusoma nyakati
 
Ilishawahi nikuta hiii,nilijilaumu mpaka nikahisi nina shida,baadae anakuja ananiambia

"nilikua nakutania bwanaaaa" nikashusha pumzi refu hapa na mjini kati,nikamuacha siku hiyo hiyo

na kuanzia miaka hiyo wanawake huniona NARINGA na ama hakika acha wanione hivyo ila nimeshasema

siwezi anzisha/koleza mazoea na mwanamke ambae likitokea la kutokea siwezi kuwa proud nae kama mke/mpenzi wangu.

Nikiona tu nimekutamani,na assume ndio tayari ushanipa mzigo ndio ushakua mama watoto "una kuja kuja" kama unakuja Basi naruhusu tamaa ziendelee,ila mitambo ikikataaa huwa najiambia "we mwanaume komaaa" acha tamaaa.

Niko makini mno mno eneo hilo staki kabisa umiza mtu au mtu aniumize au nijichape mwenyewe na kiboko kitakachoniumiza maisha yangu YOTE.

uko sawa mkuu hata mimi nishawah kukutana na hali kama yako, aloo kumbe ananitania tu aisee nilipiga chin siku hiyo hiyo fala yule
 
Back
Top Bottom