hao siwajui labda niwacheki.1xbet
YangaBetNataka niweke mzigo kabla mechi haijaanza lakini,
Niliwahi kusikia kuna makampuni yana janja janja betting zao hawahesabii ushindi wa dakika za nyongeza, hawahesabii ushindi wa matuta, n.k.
Ni kampuni na option ipi inatumika kubeti kwa timu itayoshinda bila kujali dakika za nyongeza, timu zikienda matuta, n.k.
nipo karibu na jengo la gal sports betting, niliwahi kufungua account ya meridian bet na sporty bet
Ni option zipi nachagua maana nilisikia ukibeti kawaida hawahesabi dakika za nyongeza na matutaMkuu umeoteshwa nini??
Weka kibunda, sportbet, betpawa etc
Nani anashinda, ili nisiende banda umiza
Na ukishinda unakula, ndio maana inaitwa bettingUkibeti umeliwa.
Sijakuelewa yaani unataka kubetia kwamba tiku itashinda hadi matuta?Ni option zipi nachagua maana nilisikia ukibeti kawaida hawahesabi dakika za nyongeza na matuta
Nataka nibeti ataeshinda mechi kwa matokeo yoyote yawe ya dakika 90, dakika za nyongeza, matuta, n.k.Sijakuelewa yaani unataka kubetia kwamba tiku itashinda hadi matuta?
Kwa option nyingi nyingi nenda 1xbet
Hiyo option sio rahisi kuipata options nyingi zimetengana either 90 minutes or victory by penalt shoot-outNataka nibeti ataeshinda mechi kwa matokeo yoyote yawe ya dakika 90, dakika za nyongeza, matuta, n.k.
mnaojipendekeza kwa wanaoshinda wakibeti akili zimeshikwa na nani ?Hivi wanaobet akili huwa wameshikiwa na nani?
Jaribu 1xbet au ingia kwenye ule uzi wa wakamalia utapata jibu la swali lako chap.Nataka nibeti ataeshinda mechi kwa matokeo yoyote yawe ya dakika 90, dakika za nyongeza, matuta, n.k.
Hii si nasikia hauwezi kuweka hela kwa mifumo yetu ya bongo au wameboresha1xbet
Tayari wameboreshaHii si nasikia hauwezi kuweka hela kwa mifumo yetu ya bongo au wameboresha
Unamvuruga😂😂1xbet