Nahitaji mtu wa kuzaa naye

Kuna movie moja ina kisa kama hiki niliiangalia juzi juzi tu jina limenitoka kama mtu anaikumbuka atutajie ili wachangiaji waiangalie na kujifunza kitu kabla ya kuingia deal za aina hii
 
Umeamua kuwa punda na ww? Haya ngoja waje wenye shida hio
 
Hicho nikitu cha kawaida sikuhizi,tunakwenda kama dunia inavyotaka wandugu.
 
Kumbe hii ni aina nyingine ya biashara....[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
bila ya kula papuchi??
 
Beauty hongera ila mwenzetu mgeni(unajua kutumia fursa) jana tu umejiunga leo ushaijua pm. Na biashara juu.
Huyu sio mgeni. Bali ni mwenyeji alie amua kutumia ID mpya.

Ebu jiulize......
Kajuaje mambo ya mp?
Na kajuaje kama hua tunaomba/toa ushauri humu?
 
ukipata hiyo incubator nistue na mimi
 
Wasaliana na Ma-kondakta na mkewe Maso ya Gange maana hawana mtoto hao.
 
Hii kwa Dunia ya kwanza unapata dollar za kutosha achilia mbali matunzo.

Urusi wanafanya sana kwa ajili ya kupata askari,hata Japan
 
Pole sana, anyway joined this Tuesday
 
 
mi niko tayar kuja tuongee ila utafuata my utaratibu
 
Pumbavu sana tena mwili mzima,
Uzae hafu umuuze mtoto ili hiyo hela ukaanzishe mtaji wa unga??
 
Dah... Unajua mimba inavyotungwa Lakini? Au unaongea tu... [emoji13] [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…