Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,841
- 4,797
Kweli jf siku hizi imekua fb[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] ??HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.
Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
[emoji23] [emoji23] mkuu hukumuelewa kasema mbegu zitatoka kwa mwanaume na mke wake au mwanamk wake yy atabandkizwa tu ki science so mtoto atatokaje n sura yake wakat hatochangia mbegu yy ??Weka picha yako kwanza... Usijejezaa mtungi wa maji burerr!!!
Huyu sio mpya aseeehawa member wapya hawo
au wamekudukua akili maana kwa tz hi sidhan kama utapata
Baba hapo unabadilishana joto, hii ni mbinu mpya ya kupata wame za watuHiyo kisayansi inahitaji ufafanuzi kwa sisi wengine was daraja LA iii inamaana wanakamua mbegu kwa mashine au tunabadilishana joto?
Huyu sio mgeni. Bali ni mwenyeji alie amua kutumia ID mpya.
Ebu jiulize......
Kajuaje mambo ya mp?
Na kajuaje kama hua tunaomba/toa ushauri humu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Beauty hongera ila mwenzetu mgeni(unajua kutumia fursa) jana tu umejiunga leo ushaijua pm. Na biashara juu.
HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.
Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] vya kufyatuaIna kila aina ya viwanda!
Niko tayari ni PM
Wewe utakuwa nimpenzi was zile tamthilia za kifipino kama sio movie za kiindi, hah hah unataka ucheze movie yako mubashara..HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.
Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
Ni pm aiseeeHAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.
Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.