Nahitaji mtu/watu waku-practice kuongea naye Kiingereza

Nahitaji mtu/watu waku-practice kuongea naye Kiingereza

Umefanya vyema. Ninawashauri hasa wale wasio na elimu ya kutosha angalau basi mjue kiingereza. Hii ni lugha ya hela. Ukikijua vizuri kina msaada sana.
Acha utumwa MJINGA PIGA wewe 😂

Pesa ya nyoko! Kuna watu wanafanya kazi saloon ya kike wanafanyia wadada pedicure na manicure... elimu hawana zaidi ya huo ujuzi na wanapata rizq ya kila siku na mishahara ya laki saba na laki nane mwisho wa mwezi. Nenda Saloon classy kaulize. Fursa zipo acha utumwa!
 
Habari zenu wako.

Ase imetokea nimegundua sipo fluent kwenye kuzungumza kimombo, sasa naomba msaada wa mtu/watu nitakae kua nazungumza nae angalau niweze kupata kujiamini kwenye uzungumzaji lugha hii.

Yeyote anaejua kuzungumza kwa ufasaha. Naomba a-comment neno "AM IN".. nami nitamrukia Pm kwa ajili ya mazungunzo zaidi.

Nahitaji msaada wako unitoe kwenye kudhani najua kimombo mpaka nijue kimombo kutokana na kuzungumza mara kwa mara.

Nawasilisha
financial services
Hakuna mwalimu mzuri wa kiingereza cha kuongea kama movies, series na maudhui yote yanayotumia kiingereza.

Kwa kiingereza cha kuandika na kusoma basi pendelea mno kusoma novels, magazines na maandiko yote ya kiingereza.
Hata vikaratasi vya kwenye dawa wewe soma tu.
 
Yuko vizuri sana, alianza kuongeleshwa Kiingereza, toka anajua neno la kwanza. So ni kama lugha yake. Hata uumuulize neno gani gumu anajibu. Wenzake wanamwita Dictionary. Naantombe Mushi
Ukijua Vocabularies, thesaurus na Synonims za kiingereza na lugha yoyote ile duniani utakuwa mwandishi, mwalimu na mzungumzaji mzuri kupita maelezo!

Hiyo uliyoitoa sio sababu.
 
Habari zenu wako.

Ase imetokea nimegundua sipo fluent kwenye kuzungumza kimombo, sasa naomba msaada wa mtu/watu nitakae kua nazungumza nae angalau niweze kupata kujiamini kwenye uzungumzaji lugha hii.

Yeyote anaejua kuzungumza kwa ufasaha. Naomba a-comment neno "AM IN".. nami nitamrukia Pm kwa ajili ya mazungunzo zaidi.

Nahitaji msaada wako unitoe kwenye kudhani najua kimombo mpaka nijue kimombo kutokana na kuzungumza mara kwa mara.

Nawasilisha
financial services
Am out men
 
Ukijua Vocabularies, thesaurus na Synonims za kiingereza na lugha yoyote ile duniani utakuwa mwandishi, mwalimu na mzungumzaji mzuri kupita maelezo!

Hiyo uliyoitoa sio sababu.
Vyote yuko kamili. Siwezi andika kila kitu hapa. Mpka mtu wa home ajue ni mimi. Wengine huwa wnapitia kusoma. Sema mambo ya mtandao, na ni mtoto, lah ningekuunganisha naye ungesema mwenyewe.
Karibu umwagilie moyo Mkuu 🥂
 
Vyote yuko kamili. Siwezi andika kila kitu hapa. Mpka mtu wa home ajue ni mimi. Wengine huwa wnapitia kusoma. Sema mambo ya mtandao, na ni mtoto, lah ningekuunganisha naye ungesema mwenyewe.
Karibu umwagilie moyo Mkuu 🥂
Situmii hayo mambo mwanamama... labda ndugu yangu Bazazi na Mzee wa kupambania 😂😂😂🙌🏾
 
Back
Top Bottom