Nahitaji mtu/watu waku-practice kuongea naye Kiingereza

Nahitaji mtu/watu waku-practice kuongea naye Kiingereza

Hakuna mwalimu mzuri wa kiingereza cha kuongea kama movies, series na maudhui yote yanayotumia kiingereza.

Kwa kiingereza cha kuandika na kusoma basi pendelea mno kusoma novels, magazines na maandiko yote ya kiingereza.
Hata vikaratasi vya kwenye dawa wewe soma tu.
Ahsante kwa ushauri makini
 
Ngoja nisearch screenshots zangu now niweke ,kuna mwamba alimla mzungu kimasihara aliyejenga naye urafiki na kuja bongo kwenye hiyo app na kutoa machimbo na mbinu nyingine za kupata marafiki wazuri huko.
Can't wait
 
LUgha zingekuwa zinabadirishana ungenipa french nikupe kiingereza.
Najua kiingereza kuliko lugha mama!
By the way,
Je mapelle Rwazi.
Get in bro, unisaidie kupractice kuzungumza niwe fluent.
 
Timamu ni nini mkuu?
A word of advise to you, avoid engaging with people that will be a hindrance to your attempt at bettering yourself in the language.

There are some people who by some malicious reasons opt to discourage others in an attempt to hide their own ignorance.

Though I'm not a qualified teacher, I minored in English Literature in my olden studying days so I should be able to assist/guide you. Should you require any help, I'd be delighted to assist.

Best of luck on your journey.
 
Okay , just hit me up and i would be so happy to do it with you , look we can do it on skype , whatsup or messenger the choice is yours . Like what they say it only takes you 500 English word to become fluently in English but most of us we have more than 500 english words yet we can not speak English even for 5 min . Guess why ? The answer is simple practice is what we are missing . So let us start it today 😊😊😊😁
 
Habari zenu wako.

Ase imetokea nimegundua sipo fluent kwenye kuzungumza kimombo, sasa naomba msaada wa mtu/watu nitakae kua nazungumza nae angalau niweze kupata kujiamini kwenye uzungumzaji lugha hii.

Yeyote anaejua kuzungumza kwa ufasaha. Naomba a-comment neno "AM IN".. nami nitamrukia Pm kwa ajili ya mazungunzo zaidi.

Nahitaji msaada wako unitoe kwenye kudhani najua kimombo mpaka nijue kimombo kutokana na kuzungumza mara kwa mara.

Nawasilisha
financial services

kuna site inaitwa language exchange…jisajili huko utapata wengi tu hao wenye kimombo chao
 
. kuandika ,kusoma na kusikikiza naweza kusema nipo complete 90% ila kuongea najiona nipo chini ya 50 kwa vile unaweza kupita hata miezi mitatu hata zaidi ya hapo nisipate mtu wa kupiga nae soga kimalkia.
Kwenye kuzungumza ndio ntiani
 
Hili ni tatizo la wengi hasa hapa Tanzania. Unaweza kuta andiko la mtu la kiingereza linavutia mpaka unajiuliza huyu mtu ni mTz kweli, kutana nae sasa mzungumze mwenyewe utachoka.

Watanzania wengi tunajua kiingereza cha kusoma na kusikiliza lakini sio cha kuwasiliana kwa kinywa.
Of course, mifumo ya ufundishaji ndivyo ilivyo ikiwa na maana kwamba kuandika na kusoma ni passive ila kusikiliza na kuzungumza ni active. Tatizo linaanza mwalimu mwenye kuzungumza ntiani iyo mwanafunzi atazungumza kweli.
 
Tawire
A word of advise to you, avoid engaging with people that will be hindrances to your attempt at bettering yourself in the language.

There are some people who by some malicious reasons opt to discourage others in an attempt to hide their own ignorance.

Though I'm not a qualified teacher, I minored in English Literature in my olden days so I should be able to assist/guide you. Should you require any help, I'd be delighted to assist you.

Best of luck on your journey.
 
Back
Top Bottom