Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
- Thread starter
- #61
Timamu ni nini mkuu?Mleta mada na wewe hauko timamu. Badili jina jiite "mwezi mchanga" badala ya saa 7 mchana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timamu ni nini mkuu?Mleta mada na wewe hauko timamu. Badili jina jiite "mwezi mchanga" badala ya saa 7 mchana.
Ahsante kwa ushauri makiniHakuna mwalimu mzuri wa kiingereza cha kuongea kama movies, series na maudhui yote yanayotumia kiingereza.
Kwa kiingereza cha kuandika na kusoma basi pendelea mno kusoma novels, magazines na maandiko yote ya kiingereza.
Hata vikaratasi vya kwenye dawa wewe soma tu.
Can't waitNgoja nisearch screenshots zangu now niweke ,kuna mwamba alimla mzungu kimasihara aliyejenga naye urafiki na kuja bongo kwenye hiyo app na kutoa machimbo na mbinu nyingine za kupata marafiki wazuri huko.
Get in bro, unisaidie kupractice kuzungumza niwe fluent.LUgha zingekuwa zinabadirishana ungenipa french nikupe kiingereza.
Najua kiingereza kuliko lugha mama!
By the way,
Je mapelle Rwazi.
Ahsante mkali adriz nakufuatilia kwa ukaribuHizo hapo mimi nilisevu kwa matumizi ya baadae,View attachment 2529158
View attachment 2529159
Nb: Mwamba alisema weka profile zuri na maelezo mazuri , usisahau kuleta mrejesho kama zipo vizuri .
Kila mtu uwa anakibonde wakeAisee! kumbe mimi ni afadhali sana.
A word of advise to you, avoid engaging with people that will be a hindrance to your attempt at bettering yourself in the language.Timamu ni nini mkuu?
Ndio, upo sawa kabisa mwanakwetu.Even mbuyu start same like mchicha
Habari zenu wako.
Ase imetokea nimegundua sipo fluent kwenye kuzungumza kimombo, sasa naomba msaada wa mtu/watu nitakae kua nazungumza nae angalau niweze kupata kujiamini kwenye uzungumzaji lugha hii.
Yeyote anaejua kuzungumza kwa ufasaha. Naomba a-comment neno "AM IN".. nami nitamrukia Pm kwa ajili ya mazungunzo zaidi.
Nahitaji msaada wako unitoe kwenye kudhani najua kimombo mpaka nijue kimombo kutokana na kuzungumza mara kwa mara.
Nawasilisha
financial services
Ungezitaja kabisa hizo AppKuna apps unapata kabisa marafiki wa mamtoni kukufunza kingereza mnakuwa mnachati na kuongea live ...
Shukrani mkuu.Hizo hapo mimi nilisevu kwa matumizi ya baadae,View attachment 2529158
View attachment 2529159
Nb: Mwamba alisema weka profile zuri na maelezo mazuri , usisahau kuleta mrejesho kama zipo vizuri .
Zitaje mkuu sio mbayaKuna language apps download mkuu utawapata huko wengi,wao wanatafuta wakupractise nae kiswahili so mtafanya language exchange
Lugha ya mahabati [emoji3]Ingekuwa Kispanish niko hapa...
Kidhungu nikuunganishe na mtoto wangu anatema mpaka anamwaga[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kwenye kuzungumza ndio ntiani. kuandika ,kusoma na kusikikiza naweza kusema nipo complete 90% ila kuongea najiona nipo chini ya 50 kwa vile unaweza kupita hata miezi mitatu hata zaidi ya hapo nisipate mtu wa kupiga nae soga kimalkia.
I'M IN not AM IN.AM IN
Of course, mifumo ya ufundishaji ndivyo ilivyo ikiwa na maana kwamba kuandika na kusoma ni passive ila kusikiliza na kuzungumza ni active. Tatizo linaanza mwalimu mwenye kuzungumza ntiani iyo mwanafunzi atazungumza kweli.Hili ni tatizo la wengi hasa hapa Tanzania. Unaweza kuta andiko la mtu la kiingereza linavutia mpaka unajiuliza huyu mtu ni mTz kweli, kutana nae sasa mzungumze mwenyewe utachoka.
Watanzania wengi tunajua kiingereza cha kusoma na kusikiliza lakini sio cha kuwasiliana kwa kinywa.
Kosa nimelianza mimi, mimi ndie nilie andika AM IN, uyu kafuata tu maelekezo.I'M IN not AM IN.
A word of advise to you, avoid engaging with people that will be hindrances to your attempt at bettering yourself in the language.
There are some people who by some malicious reasons opt to discourage others in an attempt to hide their own ignorance.
Though I'm not a qualified teacher, I minored in English Literature in my olden days so I should be able to assist/guide you. Should you require any help, I'd be delighted to assist you.
Best of luck on your journey.