Nahitaji mtu/watu waku-practice kuongea naye Kiingereza

Nahitaji mtu/watu waku-practice kuongea naye Kiingereza

Nitajie hiyo app.

adriz
Hizo hapo mimi nilisevu kwa matumizi ya baadae,
IMG_20230225_071225.jpg


IMG_20230225_071201.jpg


Nb: Mwamba alisema weka profile zuri na maelezo mazuri , usisahau kuleta mrejesho kama zipo vizuri .
 
Hakuna mwalimu mzuri wa kiingereza cha kuongea kama movies, series na maudhui yote yanayotumia kiingereza.

Kwa kiingereza cha kuandika na kusoma basi pendelea mno kusoma novels, magazines na maandiko yote ya kiingereza.
Hata vikaratasi vya kwenye dawa wewe soma tu.
Mimi kuanzia movies ,vitabu soft copy ,audio books,habari za ulimwengu,interviews za makocha na wachezaji ,documentary mpaka mawaidha huwa nafuatilia ya kingereza na naelewa vizuri mpaka najisahau kama mimi mbongo ila linapokuja swala la kuongea napapatika mno siwezi kuongea kama ninavyotaka.

Nimegundua cha kuongea kinahitaji mazaoezi mengi mno na watu wa kuzungumza nao mara kwa mara
maanaa cha kuandika ,kusoma na kusikikiza naweza kusema nipo complete 90% ila kuongea najiona nipo chini ya 50 kwa vile unaweza kupita hata miezi mitatu hata zaidi ya hapo nisipate mtu wa kupiga nae soga kimalkia.
 
Ngoja nisearch screenshots zangu now niweke ,kuna mwamba alimla mzungu kimasihara aliyejenga naye urafiki na kuja bongo kwenye hiyo app na kutoa machimbo na mbinu nyingine za kupata marafiki wazuri huko.
Ukiweka ni tag ndugu
 
Mimi kuanzia movies ,vitabu soft copy ,audio books,habari za ulimwengu,interviews za makocha na wachezaji ,documentary mpaka mawaidha huwa nafuatilia ya kingereza na naelewa vizuri mpaka najisahau kama mimi mbongo ila linapokuja swala la kuongea napapatika mno siwezi kuongea kama ninavyotaka.

Nimegundua cha kuongea kinahitaji mazaoezi mengi mno na watu wa kuzungumza nao mara kwa mara
maanaa cha kuandika ,kusoma na kusikikiza naweza kusema nipo complete 90% ila kuongea najiona nipo chini ya 50 kwa vile unaweza kupita hata miezi mitatu hata zaidi ya hapo nisipate mtu wa kupiga nae soga kimalkia.
Hili ni tatizo la wengi hasa hapa Tanzania. Unaweza kuta andiko la mtu la kiingereza linavutia mpaka unajiuliza huyu mtu ni mTz kweli, kutana nae sasa mzungumze mwenyewe utachoka.

Watanzania wengi tunajua kiingereza cha kusoma na kusikiliza lakini sio cha kuwasiliana kwa kinywa.
 
Mimi kuanzia movies ,vitabu soft copy ,audio books,habari za ulimwengu,interviews za makocha na wachezaji ,documentary mpaka mawaidha huwa nafuatilia ya kingereza na naelewa vizuri mpaka najisahau kama mimi mbongo ila linapokuja swala la kuongea napapatika mno siwezi kuongea kama ninavyotaka.

Nimegundua cha kuongea kinahitaji mazaoezi mengi mno na watu wa kuzungumza nao mara kwa mara
maanaa cha kuandika ,kusoma na kusikikiza naweza kusema nipo complete 90% ila kuongea najiona nipo chini ya 50 kwa vile unaweza kupita hata miezi mitatu hata zaidi ya hapo nisipate mtu wa kupiga nae soga kimalkia.
Tatizo kubwa linalotuathiri watanzania likija swala la kuongea ni kutaka kuongea kama wazungu moja kwa moja. Ni kama vile tunataka kukimbia kabla hata ya kutambaa.

Utakuta mtu anajua vizuri kuongea tatizo anataka kuforce accent (lafudhi) hatma yake anaishia kuharibu. Mfano mzuri kina Harmonize.

Lingine na ambalo ni kosa kubwa ni kujaribu kutafsiri moja kwa moja kutoka kiswahili kwenda kiingereza ndani ya kichwa kabla kuzungumza hapo lazima uchapie.
 
Back
Top Bottom