Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well, how do we go about it!Get in bro, unisaidie kupractice kuzungumza niwe fluent.
Kweli unahitaji partner haraka sana🤣Even me looking for plactise someone.
If you also want me and you we make exercise.
Haina shida mkuu ni katika kusahihishana tu.Kosa nimelianza mimi, mimi ndie nilie andika AM IN, uyu kafuata tu maelekezo.
Uzi ufungweHili ni tatizo la wengi hasa hapa Tanzania. Unaweza kuta andiko la mtu la kiingereza linavutia mpaka unajiuliza huyu mtu ni mTz kweli, kutana nae sasa mzungumze mwenyewe utachoka.
Watanzania wengi tunajua kiingereza cha kusoma na kusikiliza lakini sio cha kuwasiliana kwa kinywa.
Mkuu kama hutojali ni pm, maana kwangu inashindikana.A word of advise to you, avoid engaging with people that will be a hindrance to your attempt at bettering yourself in the language.
There are some people who by some malicious reasons opt to discourage others in an attempt to hide their own ignorance.
Though I'm not a qualified teacher, I minored in English Literature in my olden days so I should be able to assist/guide you. Should you require any help, I'd be delighted to assist you.
Best of luck on your journey.
Mjibu kwa kimomboMkuu kama hutojali ni pm, maana kwangu inashindikana.
Ana miaka mingapiYuko vizuri sana, alianza kuongeleshwa Kiingereza, toka anajua neno la kwanza. So ni kama lugha yake. Hata uumuulize neno gani gumu anajibu. Wenzake wanamwita Dictionary. Naantombe Mushi
[emoji848]Mjibu kwa kimombo
NakubaliWell, how do we go about it!
I am not a good instructor though, am afraid.
May be you know what best you want.
Grammar? Vocabulary? Semantics?
I don"t even know your level of multilingualism!
Uzi ufungwe
Pamoja sana ,kuna app moja nyingine nilijaribi nimeifuta coz wao wanakupa sentesi kisha unatamka wanakupa marks na kutoa marekebisho , unakuwa unapanda daraja kwa kila unavyofanya vizuri na kuletewa sentesi za kuchanganya zaidi , ili upate kifurushi zaidi cha live mpaka ulipie nikaona upuuzi nikaifuta.Ahsante mkali adriz nakufuatilia kwa ukaribu