Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Acha utumwa MJINGA PIGA wewe πUmefanya vyema. Ninawashauri hasa wale wasio na elimu ya kutosha angalau basi mjue kiingereza. Hii ni lugha ya hela. Ukikijua vizuri kina msaada sana.
Utaishia kutukana ndugu. Baki na kikwenu tu kama unakijua.Even me looking for plactise someone.
If you also want me and you we make exercise.
huwezi kujua historia yake labda alizaliwa saa saba mchanaMleta mada na wewe hauko timamu. Badili jina jiite "mwezi mchanga" badala ya saa 7 mchana.
Hakuna mwalimu mzuri wa kiingereza cha kuongea kama movies, series na maudhui yote yanayotumia kiingereza.Habari zenu wako.
Ase imetokea nimegundua sipo fluent kwenye kuzungumza kimombo, sasa naomba msaada wa mtu/watu nitakae kua nazungumza nae angalau niweze kupata kujiamini kwenye uzungumzaji lugha hii.
Yeyote anaejua kuzungumza kwa ufasaha. Naomba a-comment neno "AM IN".. nami nitamrukia Pm kwa ajili ya mazungunzo zaidi.
Nahitaji msaada wako unitoe kwenye kudhani najua kimombo mpaka nijue kimombo kutokana na kuzungumza mara kwa mara.
Nawasilisha
financial services
Na moderators wamemkandamiza ban! Kwa uzwazwa wake πππUtaishia kutukana ndugu. Baki na kikwenu tu kama unakijua.
Zwazwa tena ndugu. Matusi ya nini sasa chief?Na moderators wamemkandamiza ban! Kwa uzwazwa wake πππ
Hata kama ni mimi ningekuwa mmoja wa moderators ningemzaba ban! Dahh!
Yuko vizuri sana, alianza kuongeleshwa Kiingereza, toka anajua neno la kwanza. So ni kama lugha yake. Hata uumuulize neno gani gumu anajibu. Wenzake wanamwita Dictionary. Naantombe MushiAlooo... ni shidaa mpaka kinamwagika???
Ukijua Vocabularies, thesaurus na Synonims za kiingereza na lugha yoyote ile duniani utakuwa mwandishi, mwalimu na mzungumzaji mzuri kupita maelezo!Yuko vizuri sana, alianza kuongeleshwa Kiingereza, toka anajua neno la kwanza. So ni kama lugha yake. Hata uumuulize neno gani gumu anajibu. Wenzake wanamwita Dictionary. Naantombe Mushi
Si mbaya ni moja ya sehemu ya kujifunza.Utaishia kutukana ndugu. Baki na kikwenu tu kama unakijua.
Am out menHabari zenu wako.
Ase imetokea nimegundua sipo fluent kwenye kuzungumza kimombo, sasa naomba msaada wa mtu/watu nitakae kua nazungumza nae angalau niweze kupata kujiamini kwenye uzungumzaji lugha hii.
Yeyote anaejua kuzungumza kwa ufasaha. Naomba a-comment neno "AM IN".. nami nitamrukia Pm kwa ajili ya mazungunzo zaidi.
Nahitaji msaada wako unitoe kwenye kudhani najua kimombo mpaka nijue kimombo kutokana na kuzungumza mara kwa mara.
Nawasilisha
financial services
Ajue na antonyms zakeUkijua Vocabularies, thesaurus na Synonims za kiingereza na lugha yoyote ile duniani utakuwa mzungumzaji mzuri kupita maelezo!
Hiyo uliyoitoa sio sababu.
Testimony at workUtaishia kutukana ndugu. Baki na kikwenu tu kama unakijua.
Ni utani tu mzee, wote ni wanafunzi.Si mbaya ni moja ya sehemu ya kujifunza.
Hola hermosaIngekuwa Kispanish niko hapa...
Kidhungu nikuunganishe na mtoto wangu anatema mpaka anamwagaππππ
Nakubali mwanangu wa kupambania πππΎHola hermosa
Vyote yuko kamili. Siwezi andika kila kitu hapa. Mpka mtu wa home ajue ni mimi. Wengine huwa wnapitia kusoma. Sema mambo ya mtandao, na ni mtoto, lah ningekuunganisha naye ungesema mwenyewe.Ukijua Vocabularies, thesaurus na Synonims za kiingereza na lugha yoyote ile duniani utakuwa mwandishi, mwalimu na mzungumzaji mzuri kupita maelezo!
Hiyo uliyoitoa sio sababu.
Na mpaka kuna ma-profesa na wasomi maguberi ila hawajui kiingereza.Usihofu kiiengereza sio mother tongue yetu ata usipojua kimombo kawaida tu sio lugha yetu ni MJINGA tu ndiye atakayekucheka. Nchi kibao za kilatin hawajui ngeli
Situmii hayo mambo mwanamama... labda ndugu yangu Bazazi na Mzee wa kupambania πππππΎVyote yuko kamili. Siwezi andika kila kitu hapa. Mpka mtu wa home ajue ni mimi. Wengine huwa wnapitia kusoma. Sema mambo ya mtandao, na ni mtoto, lah ningekuunganisha naye ungesema mwenyewe.
Karibu umwagilie moyo Mkuu π₯