MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Nimeamua nikupuuze kwasababu inaonekana ni mtu aliyekata tamaa.Acha utumwa MJINGA PIGA wewe π
Pesa ya nyoko! Kuna watu wanafanya kazi saloon ya kike wanafanyia wadada pedicure na manicure... elimu hawana zaidi ya huo ujuzi na wanapata rizq ya kila siku na mishahara ya laki saba na laki nane mwisho wa mwezi. Nenda Saloon classy kaulize. Fursa zipo acha utumwa!
Basi acha wengine wajifunze. Kama kwako hakina msaada basi sio kwa wote.aaa wapi inategemea mazingira na kazi unayofanya
Mimi wala hakina msaada wowote kwangu
KABISA! πππππΎNimeamua nikupuuze kwasababu inaonekana ni mtu aliyekata tamaa.
Mm nipo hapaaHabari zenu wako.
Ase imetokea nimegundua sipo fluent kwenye kuzungumza kimombo, sasa naomba msaada wa mtu/watu nitakae kua nazungumza nae angalau niweze kupata kujiamini kwenye uzungumzaji lugha hii.
Yeyote anaejua kuzungumza kwa ufasaha. Naomba a-comment neno "AM IN".. nami nitamrukia Pm kwa ajili ya mazungunzo zaidi.
Nahitaji msaada wako unitoe kwenye kudhani najua kimombo mpaka nijue kimombo kutokana na kuzungumza mara kwa mara.
Nawasilisha
financial services
Pambana angalau uwe na uwezo wa kupata milo mitatu kwa siku.... Pia nakuombea uweze kuwa na akili za kuishi katika hali inayoweza kukuepusha na magonjwa kama kipindupindu na amoeba. Sema AMENNa uache kutumia majina makubwa kutafuta status au dhana kubwa nzurinzuri vichwani mwa watuzidi yako TAPELI MJINGA PIGA WEWE! MamaSamia2025
Pambana angalau uwe na uwezo wa kupata milo mitatu kwa siku.... Pia nakuombea uweze kuwa na akili za kuishi katika hali inayoweza kukuepusha na magonjwa kama kipindupindu na amoeba. Sema AMEN
Username MamaSamia2025 haina maana kwamba ndo Mama Samia mwenyewe. Shuleni ulienda kusomea upumbavu?WE HUJIELEWI WEWE... KWAHIYO UNAIGIZA WEWE NI MHESHIMIWA RAIS?! π
WE UNAFKIRI WALE WANA MUDA NA ARGUMENTS AU MUDA WA KUPOTEZA HUMU MITANDAONI?! ππππ
UMASIKINI UNAKUSUMBUA WEWE... NISIJE KULIMWA BAN BURE!
Na katu siwezi kudhania wewe ni Mama samia wala kuogopa. Wale hawana muda na UPUMBAVU!Username MamaSamia2025 haina maana kwamba ndo Mama Samia mwenyewe. Shuleni ulienda kusomea upumbavu?
[emoji3] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Me i try plactise one day i talk like white peoples
Unanivunja moyo mzee, yani nimevunja kwa kutumia kamusi halafu unaliita yai viza[emoji1787][emoji1787]
Hapa JF hatujuani na wala hatutaki kujuana kwahiyo punguza hasira isiyokuwa na ulazima.Na katu siwezi kudhania wewe ni Mama samia wala kuogopa. Wale hawana muda na UPUMBAVU!
WACHA KUJIKWEZA NA KUJIONA MATAWI MJINGA PIGA WEWE! HATUJUANI... ID ZISIKUDANGANYE. MIMI SI-FAKE NA KWELI BY-NATURE MIMI NI HOHEHAHE KWANINI NIFICHE?! LAKINI NILIJITAMBUA NA KUBADILI HALI YA MAISHA BINAFSI NA FAMILIA ILA NILIYOWAHI KUPITIA NI KOVU NA HAYASAHULIKI. NDO CHANZO CHA JINA LANGU. SASA WEWE ENDELEA KU-FAKE NA KUPIGA MIKWARA WATU MITANDAONI KWA MANENO YA KEJELI NA DHARAU KUTAFUTA SYMPATHY MITANDAONI. UKIZIMA DATA SHIDA ZIKO PALEPALE.
AMKA KALAGABAHO πππ
HUNA AKILI WEWE πHapa JF hatujuani na wala hatutaki kujuana kwahiyo punguza hasira isiyokuwa na ulazima.
A word of advise to you, avoid engaging with people that will be a hindrance to your attempt at bettering yourself in the language.
There are some people who by some malicious reasons opt to discourage others in an attempt to hide their own ignorance.
Though I'm not a qualified teacher, I minored in English Literature in my olden studying days so I should be able to assist/guide you. Should you require any help, I'd be delighted to assist.
Best of luck on your journey.
Kumbe ulikuwa unatufanya majuhaπ€£π€£Even me looking for plactise someone.
If you also want me and you we make exercise.
Njia nzuri na rahisi.Habari zenu wako.
Ase imetokea nimegundua sipo fluent kwenye kuzungumza kimombo, sasa naomba msaada wa mtu/watu nitakae kua nazungumza nae angalau niweze kupata kujiamini kwenye uzungumzaji lugha hii.
Yeyote anaejua kuzungumza kwa ufasaha. Naomba a-comment neno "AM IN".. nami nitamrukia Pm kwa ajili ya mazungunzo zaidi.
Nahitaji msaada wako unitoe kwenye kudhani najua kimombo mpaka nijue kimombo kutokana na kuzungumza mara kwa mara.
Nawasilisha
financial services
Ilijua clubhouse ni ya chademaNjia nzuri na rahisi.
Download App ya Clubhouse, kule kuna classes nyingi za English na mnakutana na watu wa mataifa mbalimbali.
Unaweza kutumia iyo opportunity coz kuna hadi walimu wanaopenda kufundisha tena hata bila ya gharama yoyote...
Ninahitaji ndugu.. naomba mawasiliano yakoKama niki faransa niko apa
Naomba hyo app plzKuna language apps download mkuu utawapata huko wengi,wao wanatafuta wakupractise nae kiswahili so mtafanya language exchange
= Usahihi ni huuπππEven me looking for plactise someone.
If you also want me and you we make exercise.