[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] mpendwaMaono yako sio mabaya, pia unaitumia akili vizuri sanaaaaa HONGERAAAA yako dada INAPENDEZA. Ila itumie pia hiyo akili kwa upande zaidi kwenye kutafakari na kusoma vitabu vyote venye kukuongoza kuzijua Dini zote nakukumbusha tuu kama mwanaadamu mwenzako.[emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji108][emoji108][emoji108] welcome.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] mpendwa
Kama una rangi nyeupeHello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha cna mtoto,cfa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana pm karibuni.Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Natafuta mchumbaUzi upi mkuu
Poleee kakaAiseee nilikua napenda Sana kuoa ngosha Ila kigezo Cha umbali kimenitoa ulingoni kwa K.O
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo aniache Kwanza [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Natafuta mchumba
Natafuta Mchumba bikra wa kumuoa.
na nyingine nyingi ppia kunamoja ya jana usiku nadhani yule ndo perfect kabisa maana kalenga kanda ya ziwa pia
Kila la heri
sijataka amini kuwa we ndo unamtafuta serious hbππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo aniache Kwanza [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kuna vigezo vya kawaida sana umeweka hapo sasa mimi sina.Kivipi Tena mkuu mbona cna vigezo hata ndg nivya kawaida tuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alafu ana wachukua shule za washichana kuleMwenzio wa Musoma alipost jana kutafuta mchumba akasema anatafuta mke..kigezo awe na bikra. Hujauona uzi au kigezo husika huna?
Sheria ngumu kama zipi kwa mfano?!Hapo mtanisamehe kidogo siunajua mkiwa dini tofauti inavosumbua Kaka hasa ndg zetu Islamic wanasheria ngumu