Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

So mm ulininyima cz ulidhani sio muoaji?!

Salaleee...yamekuwa hayo
Af acha utani hujawahi kuniomba...ungeniomba wewe ningekupa spesho ofa 

Wote wanaoolewa wana mapenzi?!


Ndio maana pale juu nimesema siwasemei wengine ni mtazamo wangu binafsi...kwangu mimi ni ndio
 
Ndio maana pale juu nimesema siwasemei wengine ni mtazamo wangu binafsi...kwangu mimi ni ndio
Unajisahaulisha tu....we used to av steamy convo nilikupenda sn mtt ww ila ulikuwa una mapozi
 
Unajisahaulisha tu....we used to av steamy convo nilikupenda sn mtt ww ila ulikuwa una mapozi
[emoji85] [emoji85] [emoji85] you are embarassing me. Watu wakiona kwamba nlikunyima kitu nlichopewa bure si watanishangaa sana aisee
 
Back
Top Bottom