Nahitaji mume mwema jamani

kama hujui kama utanipenda basi acha mana hata biblia inasema enyi Waume wapendeni wake zenu,

Kweli hayo ni maneno ya biblia lakini hujawa mke! Mke mwema hutumia busara kwa kila jambo mbona watumia neno BASI ACHA inaashilia wewe ni mtu wa kudhira kwa vitu vidogo! wewe unanipenda? je uko tiari nikuoe?
Ahaaa ahaa unajua huwezi penda bila kuona ndio maana nikasema sijui kama ntakupenda but sure kama una hizo sifa nilizotaja niprivate?
 
Asanteni kwa mchango wenu, naombeni tufunge mjadala huu.
 
asante
 
Asanteni kwa mchango wenu, naombeni tufunge mjadala huu.
Ahaaaa ahaaaa he he he te teh teh kumbe nimekubali tuufunge HIVI nyie midume kama mimi kwanini si wastaarabu mnamprivate mtu mpaka kero kila mtu anataka kupiga mambo tu hapo hamna jipya na nyie kwa kutaamani hata msivyo vioona haya TUUFUNGE!
 
Nimekuambia ni maneno yasemwayo huko nje na watu walio kwenye mahusiano na nyumba ndogo. Au ulikuwa haujanielewa?

Muda wa kumulikana na tochi sasa ili huyo mume apatikane,maanaa bila hvyo miaka itaenda itarudi hajapatkana. Tujipangeni foleni jaman apite kuchagua¿???????
 
Nipo tayari na naomba uwe nami ndo ujue tabia yangu nijibu nikupe no yangu
 
Haya mambo unaweza kukuta ni mpenzi wako wa zamani uliyemuacha au ni dada yako
 
Nahisi unataka kutendwa vilivyo,,,ww huku jf nan kakuambia kuna mume mwema,,!!??acha kufnya promo mapenz c biashara dada angu,,kaa chini muombe Mungu wako na usubrie matokeo,,kwani Mungu hamtupi mja wake...!!
 
Unasumbua wa2 bure mume mume mume,
unataka wangapi????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…