Nahitaji mwanamke aliyezaliwa kati ya 1982 mpaka 1970

Nahitaji mwanamke aliyezaliwa kati ya 1982 mpaka 1970

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Nimechoka kuwa mwenyewe, nahitaji mzee mwenzangu wa kuja kujenga na kupanga maisha. Sitaki vidada vya mjini vya hovyo maana nimechoka stress za mapenzi.

Hivyo nahitaji MWANAMKE aliyezaliwa kati 1970 mpaka 1982. Aliyetayari na mimi akuje inbox au hata kama una jirani yako njoo PM uchukue namba zangu umpe.

Vigezo. Awe na shepu mzuri sanasana awe na kalio kubwa sipendi vibibi vimodo.

Pia awe na uwezo wa kuja nilipo nauli nitamtua sipendi matapeli.
Pesa iko ya kutosha mkoa wowote.

Mimi.
Nina 28 years ni mfupi mweusi.
Vigezo zaidi pichani.

🤣🤣pia hata wewe ndugu msomaji mwanajamvi mwenzangu unaweza nisaidia pia, kama unamuonaona mmama yupo tu mtaani na hana tabu fanya kwa kuniibia namba zake nitumie PM nitatililika mwenyewe. Na sitakutaja nitakuja kukushukuru baadae.🤣🤣👋🙏
 
mishangazi huwa haina ki-wolper, unapiga mzigo bila mask puani
🤣🤣pia hata wewe ndugu msomaji mwanajamvi mwenzangu unaweza nisaidia pia, kama unamuonaona mmama yupo tu mtaani na hana tabu fanya kwa kuniibia namba zake nitumie PM nitatililika mwenyewe. Na sitakutaja nitakuja kukushukuru baadae.🤣🤣👋🙏
 
🤣🤣pia hata wewe ndugu msomaji mwanajamvi mwenzangu unaweza nisaidia pia, kama unamuonaona mmama yupo tu mtaani na hana tabu fanya kwa kuniibia namba zake nitumie PM nitatililika mwenyewe. Na sitakutaja nitakuja kukushukuru baadae.🤣🤣👋🙏
daah mie sina aisee, mie team mafuta, kwanza mie domo halichezi
nimekupa mtu wa kumcheki, mcheki Hamisi, yuko Tabata
 
Una helaaaa!!! Nikupe Namba ya shangazi yangu!! Ana sifa zote ukizotaja wewe!! Kupata Namba yake ni 50,000/tu!,
Kuhusu kumpata au kumkosa ni juhudi zako Mimi Sina lawama zaidi ya hiyo namba!
 
Back
Top Bottom