Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Vijana mna uhuru sana..
Kila la heri..
Kila la heri..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahhhahahahahaahahahaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukute ukovmabondeni uko kwenye mafuriko unakata mbizi😂
Hapo jirani yenu hakuna mmojaVijana mna uhuru sana..
Kila la heri..
Njoo kuna MP yupo single.Hapo jirani yenu hakuna mmoja
Hii ndio ile maji kupwaaaa🤣🤣🤣Njoo kuna MP yupo single.
Oya Galatone, mwanetu hivi ukitaka kujilipua Kama uko na lishangazi ndio una tumia mikono yote miwili ili kuvika uhalisia wa tukio au ?.
acha mbambamba, mpe MouOya Galatone, mwanetu hivi ukitaka kujilipua Kama uko na lishangazi ndio una tumia mikono yote miwili ili kuvika uhalisia wa tukio au ?.
acha mbambamba, mpe Mou
anaogopa ndondo 30, nyara hiyo, ohoo
Hapo mdomo Ram GB 1.2 specifications hazifit kwa hii softwareanaogopa ndondo 30, nyara hiyo, ohoo
😂 😂 😂 😂 kama mie tu, bila usaidizi wa simu mpaka leo ningekua na ngwakwaHapo mdomo Ram GB 1.2 specifications hazifit kwa hii software
Kina chambu wapiga nyeto woga utawaua
Amchecki nani?? Acha kuhamasisha uzinzidaah mie sina aisee, mie team mafuta, kwanza mie domo halichezi
nimekupa mtu wa kumcheki, mcheki Hamisi, yuko Tabata
Kijana achana na mambo ya VPN , kama kipato kina ruhusu oa.aisee,
nawasha vpn
Kwanini unamtakia KHERI huyu mzinifu?? Mwenye tabia ya uzinifu muombe baya lolote limkute ILi akili imkae sawaKila la kheri...
Mimi siyo wa kumuhukumu...Kwanini unamtakia KHERI huyu mzinifu?? Mwenye tabia ya uzinifu muombe baya lolote limkute ILi akili imkae sawa
Kwahiyo unafurahia dhambi ya uzinzi ?Mimi siyo wa kumuhukumu...