Nahitaji mwanamke aliyezaliwa kati ya 1982 mpaka 1970

Nahitaji mwanamke aliyezaliwa kati ya 1982 mpaka 1970

Nimechoka kuwa mwenyewe, nahitaji mzee mwenzangu wa kuja kujenga na kupanga maisha. Sitaki vidada vya mjini vya hovyo maana nimechoka stress za mapenzi.

Hivyo nahitaji MWANAMKE aliyezaliwa kati 1970 mpaka 1982. Aliyetayari na mimi akuje inbox au hata kama una jirani yako njoo PM uchukue namba zangu umpe.

Vigezo. Awe na shepu mzuri sanasana awe na kalio kubwa sipendi vibibi vimodo.

Pia awe na uwezo wa kuja nilipo nauli nitamtua sipendi matapeli.
Pesa iko ya kutosha mkoa wowote.

Mimi.
Nina 28 year ni mfupi mweusi.
Vigezo zaidi pichani.

🤣🤣pia hata wewe ndugu msomaji mwanajamvi mwenzangu unaweza nisaidia pia, kama unamuonaona mmama yupo tu mtaani na hana tabu fanya kwa kuniibia namba zake nitumie PM nitatililika mwenyewe. Na sitakutaja nitakuja kukushukuru baadae.🤣🤣👋🙏
Brother hapa kwa hivi watafuta kupigwa na kitu kizito au 😂😂
 
Back
Top Bottom