Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume

Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume

Sie wafupi tunabaguliwa sana [emoji38][emoji38]
 
Aliyedhihaki dini nani? Kwanza unaweza kunitolea andiko kwenye biblia ukristo ni dini?
Aise sintokua moja ya wapumbavu wa kubishania DINI na kudhihaki DINI au maandiko matakatifu ..nikuache tu, kwanza wewe inaonesha una dharau na unadharau imani za watu, huko uliko hakuna wanawake wa kiislamu ujichagulie hadi uje umdhihaki mleta mada na imani yake? Mwanamke wa aina hii hutomweza kwa sababu ana msimamo,
ungeonekana wa maana sana kama ungemuuliza kistaarabu kua kama kuna uwezekano wa kubadilisha dini yake lakini umekuja kwa kejeli na dharau na zaid unadharau na kukejeli imani za watu, sasa kwanini nskuite mpumbavu? Hujui kusoma masharti na vigezo?! Sasa unataka ligi ya kubishania dini ..siwezi aise tafuta wehu wa kule mtaani ndo ubishanie nao dini
 
Nasema hivi,onesha huo mstari unaosema kwamba imeandikwa tuwe na wake wanne
Acha matusi wewe. Ukitaka kujifunza lazima uwe mvumilivu....
Kwani hujui mambo yote machafu yamo kwenye biblia? Huna habari? Kwa taarifa mchawi wa kwanza duniani alikuwa mkristo....ugaidi mkubwa kuwahi kupata kutokea umefanywa na mkristo.....
Mtu aliyeoa wanawake wengi kuliko binadamu wote ametajwa kwenye biblia....
Nabii muuaji kuliko wote duniani ametajwa kwenye biblia na leo hii watu wanamtukuza sana....
Malaya na wazinzi wote ni waktisto....
Maandiko yako wazi......
Sasa nakushangaa andiko la wake wanne linakupanikisha mpaka unamwaga mitusi...
Hayo mauchafu mwngine yaliyofanywa na wakristo huyaoni kwenye biblia? Huwa unaisomaje?
We vipi? Soma maandiko acha hasira...
 
Acha jazba. Ndio maana wakristo mko shallow kwenye maandiko maana mna matusi badala ya kujifunza. Sasa unani attack bila sababu yoyote. Pumbavu mwenyewe shenzy mbwa....!
Hahqhahaahhaha ona sasa unavyojiabisha na kujionesha kua wewe ni nani haswa ...eti na wewe unataka kua mume wa mtu ? Labda kwa manunga embe aise...lakini ladies ambao upstairs kupo vizuri huwawezi aise ndo kama hivi una jazba na kutukana ovyo haahaaha pole
 
Acha matusi wewe. Ukitaka kujifunza lazima uwe mvumilivu....
Kwani hujui mambo yote machafu yamo kwenye biblia? Huna habari? Kwa taarifa mchawi wa kwanza duniani alikuwa mkristo....ugaidi mkubwa kuwahi kupata kutokea umefanywa na mkristo.....
Mtu aliyeoa wanawake wengi kuliko binadamu wote ametajwa kwenye biblia....
Nabii muuaji kuliko wote duniani ametajwa kwenye biblia na leo hii watu wanamtukuza sana....
Malaya na wazinzi wote ni waktisto....
Maandiko yako wazi......
Sasa nakushangaa andiko la wake wanne linakupanikisha mpaka unamwaga mitusi...
Hayo mauchafu mwngine yaliyofanywa na wakristo huyaoni kwenye biblia? Huwa unaisomaje?
We vipi? Soma maandiko acha hasira...
Hahahahahaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hamna kitu hapa ndo unataka kua mume hahaha
 
Aise sintokua moja ya wapumbavu wa kubishania DINI na kudhihaki DINI au maandiko matakatifu ..nikuache tu, kwanza wewe inaonesha una dharau na unadharau imani za watu, huko uliko hakuna wanawake wa kiislamu ujichagulie hadi uje umdhihaki mleta mada na imani yake? Mwanamke wa aina hii hutomweza kwa sababu ana msimamo,
ungeonekana wa maana sana kama ungemuuliza kistaarabu kua kama kuna uwezekano wa kubadilisha dini yake lakini umekuja kwa kejeli na dharau na zaid unadharau na kukejeli imani za watu, sasa kwanini nskuite mpumbavu? Hujui kusoma masharti na vigezo?! Sasa unataka ligi ya kubishania dini ..siwezi aise tafuta wehu wa kule mtaani ndo ubishanie nao dini
Pumbafu mwenyewe...tena mbwa kabisa zezeta wewe....hujui kitu...wala biblia huijui bwege wewe....
Nimemdhihaki saa ngapi? Wewe huoni mtoa mada amedhihaki watu wafupi tena viumbe walioumbwa na Mungu Yesu? Hilo hujaliona?
Sasa tangu lini mkristo akaoa wake wanne ingawa maandiko hayajazuia ila mmejizuia wenyewe tu kwa umbumbumbu wenu wa kutokujua maandiko.
Kimekuuma nini? We vipi?
 
Hahqhahaahhaha ona sasa unavyojiabisha na kujionesha kua wewe ni nani haswa ...eti na wewe unataka kua mume wa mtu ? Labda kwa manunga embe aise...lakini ladies ambao upstairs kupo vizuri huwawezi aise ndo kama hivi una jazba na kutukana ovyo haahaaha pole
Toa andiko ukristo ni dini. Hilo andiko hutalipata....
Acha kujishauwa. Upstair yangu ni nzuri kuliko binti anayetafuta kuolewa kwenye mtandao. Huyo ni Nunga embe. Ulikuwa hujui? Yaani mtoa mada unamtukana bila kujijua ukidhani unanikomesha mimi. Pole ewe usiyejua maandiko. Mweupe kama eneo la shule ya msingi.....
 
Biblia imeruhusu kuoa wake zaidi ya wanne. Hilo andiko mtajifanya hamlioni ila mnaona la mtume Paulo tu...
 
Kuna jamaa nilisoma nae chuo kwa sasa yuko shy town alipoajiriwa
Yuko serious anatafuta mke, yeye ana 32+(yrs)
Ukiwa serious niwaunganishe nipate Shemeji.
 
Ama kweli zama za magumashi hizi. Siku hizi wadada zamu yenu kuwatongoza waume, ati? Nasikia kama ka-harufu ka methali isemayo !...kibaya chajitembeza..."! Nadhan nimepita kimya, nisikoromewe bure mweeee.....
Siyo kweli. Ni lazima atakuwa mzuri sana sema
1. Shule imemchelewesha
2. Kubagua wanaume
3. Kutendwa
 
Nashangaa sana mnaokejeli wakati kuna watu washaleta mirejesho ya kuoana kutoka humu Jf. Acheni ujinga huo. Hata mie ningekuwa sijaoa ningeenda Pm
 
Nashangaa sana mnaokejeli wakati kuna watu washaleta mirejesho ya kuoana kutoka humu Jf. Acheni ujinga huo. Hata mie ningekuwa sijaoa ningeenda Pm
Pm ukienda huwa hawajibu hawa. Kuna ka utapeli fulani kanaendelea....
 
1. UNA CHURA?
2. KWANINI HUTAKI MFUPI WAKATI WE MWENYEWE MFUPI, SI UTAFUTE MFUPI MWENZAKO?
3. HUKO KAZIN NA MTAANI WAMEISHA?
 
Back
Top Bottom