Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

Mbona umri wako bado ni wa kutafutwa......?......sidhani kama umefikia kutafuta.......tena mtandaoni.......we piga shughuli.......kuwa nadhifu.......watakutafuta tu wenyewe.......

Tatizo nyotaa labda
 
Silengwi na mada, lakini ili kukusaidia kwenye mchakato jaribu kutufafanulia ni nini maana ya mapenzi ya dhati, isije ikawa nawe hujui kupendwa, ikiwa mtakubaliana na definition yangu ya LOVE hapa chini.

LOVE IS THE ONLY LAW TO OBEY.
 
Maisha magumu mpaka watu wanawaza kuolewa as an alternative way ya kupunguza ukali...mimi nina miaka 41 unqualified for the position
 
Ua haraka tutapata wasiwasi,umevurugwa sana. mitandao initudanganya sana. subir utafutwe
 
Kama BIKRA ni pm tufanye michakato.....kabisa Tuoane...km walishakutoboa basi kabla sijakidhi hayo masharti yako utakua hujakidhi vigezo vyangu....
 
Mbona umri wako bado ni wa kutafutwa......?......sidhani kama umefikia kutafuta.......tena mtandaoni.......we piga shughuli.......kuwa nadhifu.......watakutafuta tu wenyewe.......

Tatizo ukute Nunga yembe!
 
Doh me bhata kwa sana pesa ipo,ila nakutamani tu! mapenzi mpaka mtamaniane kwanza yakinoga ndio mnaanza kupendana.
 
MEANDU

Aha ha ha ha!! Usimkatishe tamaa mwenzio. Wanaume wenye sifa hizo wapo wengi tu, mimi ni mmoja wapo ila kikwazo kwangu ni kwamba tayari nishaoa. Naamini tampta mtu ambaye yupo serious na anayetafuta kama yeye.

Aendelee kuomba Mungu pia maana kuna watu wengine wapo stand-by kusubiria loose ball, asije akadondokea katika mikono isiyo salama akaja kuichukia JF.
 
Unlike everyone else I prefer to give you the benefit of doubt kuwa may be upo serious.

I am single (though in a complicated relationship, but sio ya ndoa)

Na-meet vigezo vyote kasoro kuvuta sigara.

You think I have a chance?? oooh, wait, sina stable employment, similiki nyumba wala sina gari, ndo nimepata kabachelor kangu ka Taxation, mwaka jana!

If you are serious then I am
 
Dr bado nachelewa kukubali kwa kweli.......
Halafu kesho uniangalie kwenye TV........nakimbia kili marathon km 21..........

Ooh!!! really...

Nitakucheck dr nione unavyokata mbuga aisee...lol
 
Aisee, nakuonea wivu. Huo ndio ulikwa mpango mzima. Kuna wakina Kiptoo na Kina Chipchirchir wamenitupia kitu, waliona compe itakuwa kubwa wakose zawadi wakanitengua kiuno. Nilikuwa nimeipania. Nimekuwa niktrain tangu last year. All the best maliza salama.
Dr bado nachelewa kukubali kwa kweli.......
Halafu kesho uniangalie kwenye TV........nakimbia kili marathon km 21..........
 
Back
Top Bottom