Nahitaji mwanaume wa kunioa

Nahitaji mwanaume wa kunioa

Namuomba MUNGU Anipe mchumba
na mimi ,Mimi mkristo mkatoliki mwanamke mvumilivu umri ni 29+, Libra,
Sio mnene sana/Chaga
Ni wa kawaida
Sina Ugonjwa wowote

Naomba kama kuna mwenye hitaji la mchumba tuchumbiane

Akiwa Chaga inapendeza zaidi na hata wengine inaruhusiwa (hii ni kwa sabbu wengi hamuwataki wachaga,)

Aishi popote duniani ntamvumilia tu
mwanaume awe na Umri tupishane awe na 35+ hata 40 itapendeza zaidi akiwa catholic itapendeza zaidi

Naomba msinitukane maana nitahuzunika ,I'd nyingine imefungwa na mod sababu ya mtu alianza kutukana nkamjbu

Akiiwa na mtoto itapendeza zaidi
K
wa maelezo mengine ni pm

E MUNGU nijalie na mimi
Kila la kheri.

Ningekuwa muslim, ningekuoa mke wa 2
 
Namuomba MUNGU Anipe mchumba
na mimi ,Mimi mkristo mkatoliki mwanamke mvumilivu umri ni 29+, Libra,
Sio mnene sana/Chaga
Ni wa kawaida
Sina Ugonjwa wowote

Naomba kama kuna mwenye hitaji la mchumba tuchumbiane

Akiwa Chaga inapendeza zaidi na hata wengine inaruhusiwa (hii ni kwa sabbu wengi hamuwataki wachaga,)

Aishi popote duniani ntamvumilia tu
mwanaume awe na Umri tupishane awe na 35+ hata 40 itapendeza zaidi akiwa catholic itapendeza zaidi

Naomba msinitukane maana nitahuzunika ,I'd nyingine imefungwa na mod sababu ya mtu alianza kutukana nkamjbu

Akiiwa na mtoto itapendeza zaidi
K
wa maelezo mengine ni pm

E MUNGU nijalie na mimi
Ingia kwenye search andika NATAFUTA MKE zitatokea mada nyingi tu anza kusoma moja baada ya nyengine utakayo pendezwa nayo ruka na huyo huyo.
 
Ushakunywa p2 zimekuchosha... Umetoa mimba hadi kizazi kimelegea... Umekesha bar na pombe na shisha umevuta... Miaka 29 umeona umeaga mashindano umeingia ktk ushangazi tena ushangazi wa kichaga 💩🤣 unataka mwanaume...
Weee shangaz wee embu kuwa serious basi, cha muhimu kwa sasa subiri kuzalishwa utelekezwe ukae nyumban kwenu kishumundu uongeze idadi ya singo maza, uishie kuita wanaume wote mbwa 🤣💩🤣
Halafu najua utakuwa na komwe, embu tuache basi tulikuwa tumekaa kimya
daaaah so sad
 
Namuomba MUNGU Anipe mchumba
na mimi ,Mimi mkristo mkatoliki mwanamke mvumilivu umri ni 29+, Libra,
Sio mnene sana/Chaga
Ni wa kawaida
Sina Ugonjwa wowote

Naomba kama kuna mwenye hitaji la mchumba tuchumbiane

Akiwa Chaga inapendeza zaidi na hata wengine inaruhusiwa (hii ni kwa sabbu wengi hamuwataki wachaga,)

Aishi popote duniani ntamvumilia tu
mwanaume awe na Umri tupishane awe na 35+ hata 40 itapendeza zaidi akiwa catholic itapendeza zaidi

Naomba msinitukane maana nitahuzunika ,I'd nyingine imefungwa na mod sababu ya mtu alianza kutukana nkamjbu

Akiiwa na mtoto itapendeza zaidi
K
wa maelezo mengine ni pm

E MUNGU nijalie na mimi
Apo apo mchaga kwisha. ili uniue bakia single mother hivo hivo mbona hakuna shida unalala peke ako hakuna wa kukufwatilia wewe huoni raha??
 
Ushakunywa p2 zimekuchosha... Umetoa mimba hadi kizazi kimelegea... Umekesha bar na pombe na shisha umevuta... Miaka 29 umeona umeaga mashindano umeingia ktk ushangazi tena ushangazi wa kichaga 💩🤣 unataka mwanaume...
Weee shangaz wee embu kuwa serious basi, cha muhimu kwa sasa subiri kuzalishwa utelekezwe ukae nyumban kwenu kishumundu uongeze idadi ya singo maza, uishie kuita wanaume wote mbwa 🤣💩🤣
Halafu najua utakuwa na komwe, embu tuache basi tulikuwa tumekaa kimya
Mambo mengine acha ujuaji wa kipunga.
 
Ushakunywa p2 zimekuchosha... Umetoa mimba hadi kizazi kimelegea... Umekesha bar na pombe na shisha umevuta... Miaka 29 umeona umeaga mashindano umeingia ktk ushangazi tena ushangazi wa kichaga 💩🤣 unataka mwanaume...
Weee shangaz wee embu kuwa serious basi, cha muhimu kwa sasa subiri kuzalishwa utelekezwe ukae nyumban kwenu kishumundu uongeze idadi ya singo maza, uishie kuita wanaume wote mbwa 🤣💩🤣
Halafu najua utakuwa na komwe, embu tuache basi tulikuwa tumekaa kimya
.......bora ungekaa kimya ndg yangu.........
 
Ushakunywa p2 zimekuchosha... Umetoa mimba hadi kizazi kimelegea... Umekesha bar na pombe na shisha umevuta... Miaka 29 umeona umeaga mashindano umeingia ktk ushangazi tena ushangazi wa kichaga 💩🤣 unataka mwanaume...
Weee shangaz wee embu kuwa serious basi, cha muhimu kwa sasa subiri kuzalishwa utelekezwe ukae nyumban kwenu kishumundu uongeze idadi ya singo maza, uishie kuita wanaume wote mbwa 🤣💩🤣
Halafu najua utakuwa na komwe, embu tuache basi tulikuwa tumekaa kimya
This is very unfair na utoto wa hali ya juu Sana Sana! Unawezaje kuandika upumbavu kama huu? Shame on you
 
Back
Top Bottom