Nahitaji mwanaume wa kunioa

Kila la kheri.

Ningekuwa muslim, ningekuoa mke wa 2
 
Ingia kwenye search andika NATAFUTA MKE zitatokea mada nyingi tu anza kusoma moja baada ya nyengine utakayo pendezwa nayo ruka na huyo huyo.
 
daaaah so sad
 
Apo apo mchaga kwisha. ili uniue bakia single mother hivo hivo mbona hakuna shida unalala peke ako hakuna wa kukufwatilia wewe huoni raha??
 
Mambo mengine acha ujuaji wa kipunga.
 
.......bora ungekaa kimya ndg yangu.........
 
This is very unfair na utoto wa hali ya juu Sana Sana! Unawezaje kuandika upumbavu kama huu? Shame on you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…