Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wifi yangu wewe ni kambeya sana tchaaah', huku ulifikaje lakini..??😂😂
Hamna fursa hapaNusu mzungu, fursa hii em changamkia bhana, MC wa harusi niko hapa, tena buree.
Acha ukocho, umeshindwa jizuia kabisa unaulilia unautaka! utapewa naoNitakuoa wewe Cocastic taka usitake. Huu ni uamuzi usiohojika
Huku ni kumoto Wii...
😹😹😹 Wifi nimeshangaa mmeanza matangazo ya kutaka ndoa, kwani waoaji town wameisha??wifi yangu wewe ni kambeya sana tchaaah', huku ulifikaje lakini..??😂😂
Kwahiyo anataka mchaga mwenzie? 😹😹Huku ni kumoto Wii...
Nimesikia amesema anataka Mchagga😀
Chura yupo???
Aaah wee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuapa ni dhambi [emoji23]
Em thibitishaa.Kweli vile baby, siwezi ishi bila wewe
Wee useme huna uwezo wa kuoa na kuhudumia, mxxxxiiiieeewHamna fursa hapa
Haijakaa sawa hii, mwanaume mzima Tena inawezekana ukawa unaitwa baba kuongea mipasho namna hii.Ushakunywa p2 zimekuchosha... Umetoa mimba hadi kizazi kimelegea... Umekesha bar na pombe na shisha umevuta... Miaka 29 umeona umeaga mashindano umeingia ktk ushangazi tena ushangazi wa kichaga 💩🤣 unataka mwanaume...
Weee shangaz wee embu kuwa serious basi, cha muhimu kwa sasa subiri kuzalishwa utelekezwe ukae nyumban kwenu kishumundu uongeze idadi ya singo maza, uishie kuita wanaume wote mbwa 🤣💩🤣
Halafu najua utakuwa na komwe, embu tuache basi tulikuwa tumekaa kimya
Mbona nimekuwa nikiamini una akili timamu?Acha ukocho, umeshindwa jizuia kabisa unaulilia unautaka! utapewa nao
kuna muda maji yanazidi unga wifi yangu, ukiona hadi jambo limeletwa huku, ujue pamekaribia kukucha na ubaya bado bila bila,😹😹😹 Wifi nimeshangaa mmeanza matangazo ya kutaka ndoa, kwani waoaji town wameisha??
ulipo nipo,usitake kunichanganyaMbona sikukutag hapo wewe mama umefuata nn hapo ninapoulizia baadhi ya vitu
I'm watching you man,jichanganye nikuvuruge.unanijua😄Acha wivu basi wewe mama