political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
wadau wameshamuwai siunajua mbususu ya bure ulipii gesti wala chakulaAaah anatuchora tu, watu tusha jiandaa, tukijifungia nae ndani wiki ni moto tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wadau wameshamuwai siunajua mbususu ya bure ulipii gesti wala chakulaAaah anatuchora tu, watu tusha jiandaa, tukijifungia nae ndani wiki ni moto tuu
Umeniwahi mkuu. Asante. Hivi dunia ya Dar au hata Tanzania nzima, kweli mwanamke atataka kupata ujauzito akose wa kumpa? Kwanini asijilengeshe kwa mwanaume yeyote atakayemchagua? Mwanzoni wanaweza kuanza kutumia condomu ila baadae akamshuri wapime. Mambo yakiwa mazuri wacheze kavu kavu na akipata ujauzito apotee kiaina. Tena hili ni rahisi kuliko huu ''m-tangazo'' wake.Sasa si uwakubalie wanaokutongoza huko duniani. Fanyeni mapenzi ukipata ujauzito usimwambie mlime kibuti kimya kimya.
Kwa akili yako inaingia akili mrembo kutafuta mwanaume wa kujaza mimba huku?Kila la kheri mamaa
Andiko kama hili huwa na lengo mahsusi na sio hiki tunachoaminishwaUmeniwahi mkuu. Asante. Hivi dunia ya Dar au hata Tanzania nzima, kweli mwanamke atataka kupata ujauzito akose wa kumpa? Kwanini asijilengeshe kwa mwanaume yeyote atakayemchagua? Mwanzoni wanaweza kuanza kutumia condomu ila baadae akamshuri wapime. Mambo yakiwa mazuri wacheze kavu kavu na akipata ujauzito apotee kiaina. Tena hili ni rahisi kuliko huu ''m-tangazo'' wake.
Umewaza mbali sanaAlie tayari mbegu zake zikalelewe na lesbian fursa hiyo hapo. Mtoto atapata baba wa kike, afya ya akili kwa huyo mtoto sijui kama atakuwa normal kid
Nimekuelewa na mimi nimefikiria hivyo hivyo.Andiko kama hili huwa na lengo mahsusi na sio hiki tunachoaminishwa
Aisee...Kila la kheri mamaa
Huyu ayuko sawa kichwaniKumbe bado huna akili za kitoto sana,elimu yako haijakusaidia kitu na kama ww hautokufa siku 1, mtt atabak na nani!? Tabia yako ya lesbian imeanza kukuathiri kisaikolojia.
Kwa hayo maelezo na masharti uliyotoa ni bora ukatafute kichaa mmoja umkamate uzae naye kinguvu kisha aende zake.Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu,
Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia niolewe nizae,
Nimefata ushauri wa kuzaa lakini sikua peke yangu kwenye shauri hilo niliwashirikisha familia kua sitaki kuolewa lakini nataka kuzaa ilikua vuta nikuvute hatimae wakakubali,
Ninazaa sababu napenda watoto na umri unaniruhusu lakini sio nazaa ili nibadilike hivi nilivyo au niweke mwamvuli kwa jinsi nilivyo HAPANA,
SIFA ZA MWANAUME WA KUZAA NAE:
1. Awe na Akili Timamu
2. Awe tayari kupima Magonjwa yote ya Zinaa na mbegu zake kama nzima (tutaenda hospital pamoja)
3. Asiwe busy sana sababu nataka awe focused na kunipa ujauzito zile siku zote za upevushaji tutakazokutana
4. Asinipende na kutaka kunifanya girlfriend wake mara aje na sera za kutaka ndoa sijui kunibadilisha
5. Asiniombe Pesa kwenye jambo hili, kwani mimi nitakua nina safari ndefu ya kulea Mtoto siwezi kununua mbegu
6. Azingatie Mimba ikiingia mimi na yeye tunakata mawasiliano
7. Umri usizidi miaka 40 sitaki Mtu mwenye changamoto zozote za kiafya
SIFA ZANGU:
1. Nina Akili Timamu
2. Lesbian
3. Ready kua Mama
4. Umri miaka 28
5. Nipo Dar es salaam
NB: Sio lazima uwe wewe Mwana Jf unaweza kua na Ndugu au Rafiki ukatuunganisha.
Mawasiliano yawe PM.
Natanguliza Shukrani.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nikionaga huu msemo huwa namkumbuka Dula mbabemaneno mengi akiingia ulingoni wana mmandonga.Afile muno asigale muno
😄😄😄 Alie niwahi anaifaidi tu huko dah..wadau wameshamuwai siunajua mbususu ya bure ulipii gesti wala chakula