Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na jinsi alivyoandika inaonekana hata muda wa kunyanduana hakutakuwa na zile feeling za kiromantic yaan utapewa mashariti mpaka basi kama usinishike huko mara humalizi tu,tuishie hapa nimechokaYani kwa masharti hayo nikajua kuna donge nono[emoji39]what is in for my sperms, huyo ni sperm donor bibie unatakiwa umlipe.
Yan umeandika kwa kujiamini sana kumbe unataka huduma for free[emoji1787][emoji1787]
Either way anaeweza kugawa sperm zake under that circumstance ni kichaa tu na ww umesema awe na akil timamu.
Yaani mtu unakuwa tayari kutelekeza damu yako kwa msagaji? Hivi akili huwa mnazitumia kufanya nini?mimi niko poa kiafya sina shida miaka 32 na niko tayari ila kuna shariti moja ndo gumu tu, kama unaweza niwe naona picha zake basi karibu PM hata kama asipo mjua baba yake sawa.
shida ilianzia hapa,2. Lesbian
sina noma.Yaani mtu unakuwa tayari kutelekeza damu yako kwa msagaji? Hivi akili huwa mnazitumia kufanya nini?
Kwanini usioe mke upate watoto kama unahitaji watoto badala ya kutelekeza damu yako kwa huyo mshenzi halafu mwanao aje nae asagwe au afanywe shoga aanze kukulaani Kwanini ulimzaa na kumtelekeza kwa huyo shetani?
Nimechekaaaa ila umeongea point kubwa sana,[mention]Mariposa [/mention] Mi naona ni kheri utafute mzungu au ukifanikisha kupata asie raia wa nchi hii ndo itakua vizuri zaidi, hatakama mtawasiliana na kumtumia picha ila hatokusumbua kama mtu wa hapahapa, kibongo bongo kuna mawili either uyo mtu atakubadirikia baada ya kupata penzi lako huenda akakupenda na tena akiwa anahuakika kaacha mbegu zake na mimba lazima tuu atarud kutaka muungane (LAZIMA ATAKUSUMBUA SANA) sababu hamna mkataba!
Na ukijiroga ukasema umtumie picha za mtoto atakama keshamove on trustme atarud tuu hatokubali kutomwona mwanae na mwanae kutopata ubini wa baba ake ndo vitamchanganya kabisaa atakama ndo yalikua makubaliano.
Wazo la mwisho kama unauwezo basi kubaliana na atayekuja kukupa mimba avae mask usoni na wewe uvae mask usoni jenga mazingira yakutofahamiana kabisa baada ya pale usijifanye wabongo kama hutujui vizuri, usiombe keshakupa mimba alafu mkutane sijui kwenye mwendo kasi alafu umebeba katoto kazuuuri hehe UTAJUA HUJUI,,,,NYOTE MNAWEZA KUBADIRIKIANA TU.
Unaijua bei ya kupandikiza lakini?Si uende ukapandikizwe mimba hospitali,au unataka utamu wa dyudyu la yuyu ili upime ikiwezekana uachane na usagaji mazima hapa unatuzuga tu??
wote watakao kufata hawana kigezo Cha akili timamuKigezo kikuu ni Akili Timamu, nitamjua mlengwa wangu kupitia akili yake,
Zoezi bado hadi vipimo vyote vikamilike
Kwa hiyo Lesbian ni nani?Hakuna lesbian kwenye Mimba,
Hii mbinu unayotumia ni ya kunasa mwanaume ili baadae awe mbeba mizigo yako.
Sasa mwanaume jichanganye tena nyie wenye status na KAZI zenu za heshima mtapelekwa madawati ya jinsia Hadi mchakae na aibu juu.
Huu ni mtego. Huu ni mtego. Kama anataka mtoto aende kupandikiza mbegu. Anachofanya hapa kuna watu wanategwa.
Narudia tena hakuna lesbian kwenye Mimba. Tumeona Lesbian waliokubuhu zaidi ya huyu Ila walipochapwa Mimba wakawa full wanawake.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mstari wa mwisho umenichekesha sana, Mtoto wangu hawezi fikia huko kwa uwezo wa aliye juu,Hongera sana dada Mariposa, umetumia busara nyingi kwani lesbian wengi wakizeeka wanakuwa wapweke mno, Bora wewe Hadi ukizeeka uwe na mtoto mmoJa au wawili wazurii wa kukuliwaza, kuwatuma hapa na pale na kuona vituko na vimbwanga vyao maana watoto ni tabasamu na burudani la wazazi.
Ila na wewe ni Bora ungeweka sifa zako hata Kwa mbali kama vile wewe ni mweupe, maji ya kunde au mweusi, mrefu au mfupi au katikati, ni mnene au mwembamba, ni dini Gani, una elimu Gani, unaishi mkoa Gani na una kipato kiasi Gani kwamba una mahela, una hela kiasi au maskini kabisa unategemea wazazi ili hata bwana anayekuja kukupa mimba awe na amani Kuwa mtoto wake ataishi maisha ya stara na maisha nafuu.
Sio baada ya miaka 2 au 3 ukimcheki mtoto hata Kwa mbali umuone kachooka, anaishi maisha duni na kusoma shule duni miksa kusimangwa muone kwanza kichwa kikubwa kama Cha baba Ako au masikio makubwa kama ya baba Ako.
Ushauri wako nimeupokea huu,Ngoja nakutafutia lakini whatever the case ikitokea ukampata mtu wa vigezo na masharti yako bado ni vema ukawa na kumbukumbu zake ama hata za ndugu zake kwakuwa hatujui future itakuletea nini.. Kuwafahamu ndugu wa baba mtoto ni hakiba ya baadae
Mzee upo serious[emoji1][emoji1][emoji1] Lesbian hatari na nusu, linaweza leta pigo za sodoma.. Ukimaliza kulifanya nalo linaomba kufanya ndio hapa kuna kupasuana ngeu
😄😄😄😄 Mbususu ya Lesbian nataka nionje inakuwaje kuwajeMzee upo serious