Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Napenda watoto, niko tayari kukusaidia kulea, niko tayari mtoto wangu asome shule yoyote nzuri, but siko tayari kuacha mtoto wangu
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu,

Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia niolewe nizae,

Nimefata ushauri wa kuzaa lakini sikua peke yangu kwenye shauri hilo niliwashirikisha familia kua sitaki kuolewa lakini nataka kuzaa ilikua vuta nikuvute hatimae wakakubali,

Ninazaa sababu napenda watoto na umri unaniruhusu lakini sio nazaa ili nibadilike hivi nilivyo au niweke mwamvuli kwa jinsi nilivyo HAPANA,

SIFA ZA MWANAUME WA KUZAA NAE:
1. Awe na Akili Timamu

2. Awe tayari kupima Magonjwa yote ya Zinaa na mbegu zake kama nzima (tutaenda hospital pamoja)

3. Asiwe busy sana sababu nataka awe focused na kunipa ujauzito zile siku zote za upevushaji tutakazokutana

4. Asinipende na kutaka kunifanya girlfriend wake mara aje na sera za kutaka ndoa sijui kunibadilisha

5. Asiniombe Pesa kwenye jambo hili, kwani mimi nitakua nina safari ndefu ya kulea Mtoto siwezi kununua mbegu

6. Azingatie Mimba ikiingia mimi na yeye tunakata mawasiliano

7. Umri usizidi miaka 40 sitaki Mtu mwenye changamoto zozote za kiafya

SIFA ZANGU:
1. Nina Akili Timamu

2. Lesbian

3. Ready kua Mama

4. Umri miaka 28

5. Nipo Dar es salaam

NB: Sio lazima uwe wewe Mwana Jf unaweza kua na Ndugu au Rafiki ukatuunganisha.

Mawasiliano yawe PM.

Natanguliza Shukrani.
Njoo PM nakusubr [emoji41]

Sent from my Infinix X608 using JamiiForums mobile app
 
Mbegu za bure zinapatikana kwa vichaa tuu.

Na kwa vile kati ya watanzania 4 mmoja ni punguani basi huwezi wakosa.

Yani mtu mwenye akili zake timamu ukampimishe mavipimo, umpime mbegu kama ziko viable, kisha akakuwekee mbegu just for free?[emoji1787] Hizo zitakuwa akili ama matope?


On top of that hata huyo mtoto umnyime access naye? Like seriously? Just for free?

Bora hata ungesema mtoto atakuwa wenu wote, hata kama baba hatachangia malezi wewe utakuwa responsible but hutamnyima access ya mtoto.
 
Mbegu za bure zinapatikana kwa vichaa tuu.

Na kwa vile kati ya watanzania 4 mmoja ni punguani basi huwezi wakosa.

Yani mtu mwenye akili zake timamu ukampimishe mavipimo, umpime mbegu kama ziko viable, kisha akakuwekee mbegu just for free?[emoji1787] Hizo zitakuwa akili ama matope?
Mnapopigaga puli huwa mnalipwa?
 
Mnapopigaga puli huwa mnalipwa?
Wewe mkata bamia acha kudandia gari kwa mbele, utaukwaa mtumbwi wa vibwengo wewe endelea tuu.

JamiiForums690400227.jpg
 
Mbegu hazina cha umri! Nashauri uolewe tu uachane na maisha ya Lesbinism ili upate mwenza wa kuwa karibu na wewe.Tena unaweza kumpata mwanaume ambaye atakujali kuliko unavyofikiri.
 
Wewe mkata bamia acha kudandia gari kwa mbele, utaukwaa mtumbwi wa vibwengo wewe endelea tuu.

View attachment 2370480
Usikariri kwamba kila wakati gari inadandiwa kwa nyuma..!! Inategemea kama linarudi nyuma au linawenda mbele..!!! Kama linarudi nyuma unadandia kwa mbele, na kama linakwenda mbele unadandia kwa nyuma..!!
 
Mwanaume ukitaka kutesa damu yako maisha yako yote kubali huu ujinga aisee damu itakulilia kumbuka maisha yanabadilika wazungu wametuharibu sana kofolomondo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom