Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngumu sasa kutoka lesbian yaani kishakuwa addicted.Ukipata mchaga ni lazima baba wa mtoto ajulikane ili Mila iwe sahihi kwa mtoto. Nakushauri piga teke usagaji ili uishi katika maisha ya ndoa.
Kua Mtulivuuuu
Njoo PM nakusubr [emoji41]Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu,
Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia niolewe nizae,
Nimefata ushauri wa kuzaa lakini sikua peke yangu kwenye shauri hilo niliwashirikisha familia kua sitaki kuolewa lakini nataka kuzaa ilikua vuta nikuvute hatimae wakakubali,
Ninazaa sababu napenda watoto na umri unaniruhusu lakini sio nazaa ili nibadilike hivi nilivyo au niweke mwamvuli kwa jinsi nilivyo HAPANA,
SIFA ZA MWANAUME WA KUZAA NAE:
1. Awe na Akili Timamu
2. Awe tayari kupima Magonjwa yote ya Zinaa na mbegu zake kama nzima (tutaenda hospital pamoja)
3. Asiwe busy sana sababu nataka awe focused na kunipa ujauzito zile siku zote za upevushaji tutakazokutana
4. Asinipende na kutaka kunifanya girlfriend wake mara aje na sera za kutaka ndoa sijui kunibadilisha
5. Asiniombe Pesa kwenye jambo hili, kwani mimi nitakua nina safari ndefu ya kulea Mtoto siwezi kununua mbegu
6. Azingatie Mimba ikiingia mimi na yeye tunakata mawasiliano
7. Umri usizidi miaka 40 sitaki Mtu mwenye changamoto zozote za kiafya
SIFA ZANGU:
1. Nina Akili Timamu
2. Lesbian
3. Ready kua Mama
4. Umri miaka 28
5. Nipo Dar es salaam
NB: Sio lazima uwe wewe Mwana Jf unaweza kua na Ndugu au Rafiki ukatuunganisha.
Mawasiliano yawe PM.
Natanguliza Shukrani.
Ha ha hasa dahAcha tusubiri usaili mwanawane upite, hiyo mbususu nitaipakia mkongo na mundende na vumbi la babu kutoka kigoma nitaiwasha hatari,
Mnapopigaga puli huwa mnalipwa?Mbegu za bure zinapatikana kwa vichaa tuu.
Na kwa vile kati ya watanzania 4 mmoja ni punguani basi huwezi wakosa.
Yani mtu mwenye akili zake timamu ukampimishe mavipimo, umpime mbegu kama ziko viable, kisha akakuwekee mbegu just for free?[emoji1787] Hizo zitakuwa akili ama matope?
Huo ni ujinga wa ukubwa wa ziwa Victoria. Shahawa zangu umiliki wewe.Unamaanisha hata huyo mtoto hatokaa amjue Baba yake hata kwa jina au sura?
Kama hujui kusoma uliza kwa wenzako kilichoandikwa.Hujasema uko mkoa gani
Wewe mkata bamia acha kudandia gari kwa mbele, utaukwaa mtumbwi wa vibwengo wewe endelea tuu.Mnapopigaga puli huwa mnalipwa?
Usikariri kwamba kila wakati gari inadandiwa kwa nyuma..!! Inategemea kama linarudi nyuma au linawenda mbele..!!! Kama linarudi nyuma unadandia kwa mbele, na kama linakwenda mbele unadandia kwa nyuma..!!Wewe mkata bamia acha kudandia gari kwa mbele, utaukwaa mtumbwi wa vibwengo wewe endelea tuu.
View attachment 2370480