Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Sikuona sehemu ambayo huyo mwanaume anafaidika nini sawa mtoto hamuhusu tena baada ya kuweka ujauzito ndio hata pesa akose?

Mbona hueleweki? Huyo mwanaume anafaidika na nini kwako kwa kutumia muda wake kukutia mimba maana unasema baada ya tendo hutaki mjuane tena na wala hutoi malipo yoyote kwake. Kumbe unataka msaada lakini bado unaweka masharti meeeeengi? Kama hujitambui vile!!!!
Don't complain. Huyo akiwa sirias atapata humu humu. Hiv lile jotojoto pale mapajani mnaonaga Lina kasheshe ndogo?. Yeye kama anawajaribu watu tu mwambie tu "WANAUME HATUJARIBIWI"
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu,

Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia niolewe nizae,

Nimefata ushauri wa kuzaa lakini sikua peke yangu kwenye shauri hilo niliwashirikisha familia kua sitaki kuolewa lakini nataka kuzaa ilikua vuta nikuvute hatimae wakakubali,

Ninazaa sababu napenda watoto na umri unaniruhusu lakini sio nazaa ili nibadilike hivi nilivyo au niweke mwamvuli kwa jinsi nilivyo HAPANA,

SIFA ZA MWANAUME WA KUZAA NAE:
1. Awe na Akili Timamu

2. Awe tayari kupima Magonjwa yote ya Zinaa na mbegu zake kama nzima (tutaenda hospital pamoja)

3. Asiwe busy sana sababu nataka awe focused na kunipa ujauzito zile siku zote za upevushaji tutakazokutana

4. Asinipende na kutaka kunifanya girlfriend wake mara aje na sera za kutaka ndoa sijui kunibadilisha

5. Asiniombe Pesa kwenye jambo hili, kwani mimi nitakua nina safari ndefu ya kulea Mtoto siwezi kununua mbegu

6. Azingatie Mimba ikiingia mimi na yeye tunakata mawasiliano

7. Umri usizidi miaka 40 sitaki Mtu mwenye changamoto zozote za kiafya

SIFA ZANGU:
1. Nina Akili Timamu

2. Lesbian

3. Ready kua Mama

4. Umri miaka 28

5. Nipo Dar es salaam

NB: Sio lazima uwe wewe Mwana Jf unaweza kua na Ndugu au Rafiki ukatuunganisha.

Mawasiliano yawe PM.

Natanguliza Shukrani.
Usiwe mbinafsi kwa kiwango hiki.
Unajali furaha yako pekee kwanini umnyime mtoto haki ya kumjua baba kisa unalinda furaha ya moyo wako?
 
Pole kwa yote uliyopitia Mariposa ni hatua nzuri uliyofikia.. Mimi nizidi tu kukuombea na kukutia moyo! Kuna baadhi ya taasisi wanauza mbegu hivyo unaweza kwenda huko!
Hofu yangu ni future ya mtoto atakayezaliwa..! Udogoni sio tatizo sana lakini kadiri atakavyokua hasa maisha ya shuleni akisikia wenzake wakisimulia kuhusu baba zao wakati yeye hana/hamjui anaweza kuathirika kisaikolojia na kutengeneza tatizo jipya

Kwa hatua ya kutaka kubeba mimba tena bila kupandikiza mbegu ni hatua nzuri sana kwakuwa inaweza kumaliza tatizo ulilonalo! Bila kutegemea wala kupanga mimba ikishatungwa hisia zinaweza kuanza kubadilika na kuanza kumhitaji mzazi mwenzako awe karibu nawe.. Mimba huja na mengi

Ikikutokea hivyo na huyo mzazi mwenza mtarajiwa akaku handle vema utakuwa umemaliza tatizo moja kwa moja.. Ila akizingua ndio basi tena

Yote kwa yote NAKUOMBEA
Mshana Jr nakuaminia, chukua wewe hii kazi.
 
Tatizo lingine.
Eti nisiwe busy nikiendelea kumtafutia mtu mtoto wake na mimi sitakuwa na haki ya kumuona?

Mimi nafaidi nini?
Kusex na mtu asiye na hisia na mimi!!!

Labda hili ataliweza
mzabzab
Mie namsubiria pm tuyajenge nimpe mimba basi najua dogo akiwa mkubwa atanitafuta tuuu
 
Usisumbue watu humu we nenda muhimbili hospital ukawaelezee watakusaidia kukupatia mbegu ,

Usihangaike kutafuta MTU Mwenye akili timamu wakati wewe mwenyewe tu hapa unaonekana huna akili timamu
 
Hakuna lesbian kwenye Mimba,

Hii mbinu unayotumia ni ya kunasa mwanaume ili baadae awe mbeba mizigo yako.

Sasa mwanaume jichanganye tena nyie wenye status na KAZI zenu za heshima mtapelekwa madawati ya jinsia Hadi mchakae na aibu juu.



Huu ni mtego. Huu ni mtego. Kama anataka mtoto aende kupandikiza mbegu. Anachofanya hapa kuna watu wanategwa.



Narudia tena hakuna lesbian kwenye Mimba. Tumeona Lesbian waliokubuhu zaidi ya huyu Ila walipochapwa Mimba wakawa full wanawake.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mbinafsi, unajiangalia wewe tu kufanikisha mambo yako ili uwe na wepesi wa kufanya mambo yako ya kilesbian bila mikwaruzo mingi kutoka kwa familia yako. Na hivyo haujali kabisa haki ya mtoto wako ya kumjua baba yake. Kwa ubinafsi wako utaathiri hata saikolojia ya akili ya mwanao kwa sababu naye atataka kujua baba yake alipo ila wewe utakuwa unampa jibu lisilo na mashiko.
Huwezi kujifanya eti unapenda watoto halafu mtoto wako mwenyewe unataka kumnyima haki ya kumjua baba yake. Shame on you!
Huyu kumbe anajitambua anaona umri unaenda halafu kuna hitaji la kuwa na family sasa tamaa imemzidi kama anaweza akawaza kupata mtoto kumbe hata hiyo tabia anaweza akaacha.Anataka kumuambukiza mtoto mambo ya ajabu.
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu,

Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia niolewe nizae,

Nimefata ushauri wa kuzaa lakini sikua peke yangu kwenye shauri hilo niliwashirikisha familia kua sitaki kuolewa lakini nataka kuzaa ilikua vuta nikuvute hatimae wakakubali,

Ninazaa sababu napenda watoto na umri unaniruhusu lakini sio nazaa ili nibadilike hivi nilivyo au niweke mwamvuli kwa jinsi nilivyo HAPANA,

SIFA ZA MWANAUME WA KUZAA NAE:
1. Awe na Akili Timamu

2. Awe tayari kupima Magonjwa yote ya Zinaa na mbegu zake kama nzima (tutaenda hospital pamoja)

3. Asiwe busy sana sababu nataka awe focused na kunipa ujauzito zile siku zote za upevushaji tutakazokutana

4. Asinipende na kutaka kunifanya girlfriend wake mara aje na sera za kutaka ndoa sijui kunibadilisha

5. Asiniombe Pesa kwenye jambo hili, kwani mimi nitakua nina safari ndefu ya kulea Mtoto siwezi kununua mbegu

6. Azingatie Mimba ikiingia mimi na yeye tunakata mawasiliano

7. Umri usizidi miaka 40 sitaki Mtu mwenye changamoto zozote za kiafya

SIFA ZANGU:
1. Nina Akili Timamu

2. Lesbian

3. Ready kua Mama

4. Umri miaka 28

5. Nipo Dar es salaam

NB: Sio lazima uwe wewe Mwana Jf unaweza kua na Ndugu au Rafiki ukatuunganisha.

Mawasiliano yawe PM.

Natanguliza Shukrani.
Sasa unapatikanaje? Nakubaliana na hayo masharti yote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom