Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Sasa si uwakubalie wanaokutongoza huko duniani. Fanyeni mapenzi ukipata ujauzito usimwambie mlime kibuti kimya kimya.
Umeniwahi mkuu. Asante. Hivi dunia ya Dar au hata Tanzania nzima, kweli mwanamke atataka kupata ujauzito akose wa kumpa? Kwanini asijilengeshe kwa mwanaume yeyote atakayemchagua? Mwanzoni wanaweza kuanza kutumia condomu ila baadae akamshuri wapime. Mambo yakiwa mazuri wacheze kavu kavu na akipata ujauzito apotee kiaina. Tena hili ni rahisi kuliko huu ''m-tangazo'' wake.
 
Andiko kama hili huwa na lengo mahsusi na sio hiki tunachoaminishwa
 
Kumbe bado huna akili za kitoto sana,elimu yako haijakusaidia kitu na kama ww hautokufa siku 1, mtt atabak na nani!? Tabia yako ya lesbian imeanza kukuathiri kisaikolojia.
Huyu ayuko sawa kichwani
 
Kwa hayo maelezo na masharti uliyotoa ni bora ukatafute kichaa mmoja umkamate uzae naye kinguvu kisha aende zake.
Maana mtu mwenye akili zake timamu hawezi kukuelewa.
Yaani yeye akuzalishe tu kisha aende zake,sasa yeye faida yake itakuwa ni nini?
 
Si mnajifanya mnasapot mapenzi ya Jinsia Moja na kuharibu jamii, mkiambiwa hayo mapenzi ya namna hiyo yanaenda kuua Kuzaliana mnaanza kununa.


Haya wewe si Jike dume unaosaga wasichana , tafuta Binti umpe Mimba mzae.

Ng'ombe wewe

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…