Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Nawapendekeza wafuasi wangu wafuatao:-
Pascal Mayalla
Mwigulu Nchemba
Nape Nnauye
 
Hun
huna akili
 
Umri wa nini sasa kwani utazaa mzee?

Kuishi nae hutaki wala kumjua tena halafu unapanga na umri acha zako basi wewe unatafuta wa kumpindua na mbegu zake &#^##%%#%@
Wazee hua mnakua na changamoto za kiafya kama sukari, presha, nguvu za kiume, ndio maana nikaweka kigezo cha umri lakini kama yupo fit anakaribishwa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…