Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Nipo hapa naweza kukusaidia kutimiza ndoto zako.
 
Sasa si uwakubalie wanaokutongoza huko duniani. Fanyeni mapenzi ukipata ujauzito usimwambie mlime kibuti kimya kimya.
Wakumtongoza watoke wapi!!? Wangekuwepo unadhani angekuja huku? Hiyo sura yenyewe umeiona??
 
Unamaanisha sio kila samaki Ni mboga wengine Ni wa mapambo.
 
Sio Kama hajitambui vile,huyu mleta Uzi HAJITAMBUI.
 
Yaani hayo masharti aliyoweka utadhani yeye Ni special being from Jupiter,hapa atampata mzabzab mroho wa mbususu tu😂
Tatizo lingine.
Eti nisiwe busy nikiendelea kumtafutia mtu mtoto wake na mimi sitakuwa na haki ya kumuona?

Mimi nafaidi nini?
Kusex na mtu asiye na hisia na mimi!!!

Labda hili ataliweza
mzabzab
 
Niko Dodoma hapa mkuu njoo pm
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…