Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Kwa hiyo zoezi la kutafuta mtoto linaanza soon, sasa mbona mnachat tena as if mpo kwenye mahusiano?
 
A
ASIWE BUSY WA KWAKO.MAMAA
TAFUTA WAKO MSHUGULIKIE HUMU.WANANDOA KIBAO WATAVUA PETE WASEME.SINGLE WAKUKOJOLEE KAMA NILIVYOFANYA UGANDA ILA NALEA..
 
Soma mrejesho juu huko!
Haitaliwa kibudu mkuu lazima mtoto alainishwe kweri kweri ndipo zoezi lifanyike🤣🤣🤣🤣
Hawa wataoana we subiri...dada amelegea huoni anamwaga misifa?
 
Kapata kichaa mwenzake anasema amepata jamaa mwenye akili timamu.
 
MPaka umeona ameanza awe nanakili timamu msimdharahsu kapitia wehu kadhaaa

shida asije akawa yee ndie ana nyota na wanaume wehu hata ukimpata ukosawa lazima uhehuke baadae ..
 
Thanks ila bado soma mrejesho juu
Kuna changamoto jiandae nazo,mazoea hujenga tabia,ni rahisi sana mmoja wenu kumzoea mwenzake au kuja kupendana. Pia kwenye malezi ya mtoto usitegemee utamweka mtu mbali na damu yake kwa namna unayowaza wewe,attention itakuwepo tu,kwako,kwa mtoto,au kote.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…