Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
1. Anahitaji mwanaume wa kuzaa nayeSawa
Ubaguzi ganiHuo ubaguzi live live
Soma vizuri kwenye mind ya mleta Uzi utajua anachokitaka.Hii kitu imekaa poa sana, shida ni kua huko mbele wanawake hubadilika na ukizingatia kibongobongo hamna mikataba ya hivyo.
Sisi wenye sura special case mnatuachia nani..ππUbaguzi gani
π€£π€£π€£ Ndio mkimbilie pm saivi kabla mtoa mada hajapata maokoto.Sisi wenye sura special case mnatuachia nani..ππ
Au "k" zimetembea kilometre kibaoNina dhana moja
Na-assume ww ni msichana mrembo, unaweza vipi kosa mtu/watu wanaokupenda huko iwe mtaani au unapofanya kazi? Au hata marafiki tu wa kiume ulionao?
Maana kama ni mrembo na unaweka vigezo vyako naamini wapo vijana wengi watatimiza hivyo vigezo
Kwa nn unataka kubet huku mtandaoni? Hapa ndio huwa sielewi
Mm nahisi wengi kama sio wote mnaofikia hii stage huwa SIO warembo
πππππDaaah nmekukosea nn bomu lote hililikiwa refu akili hamna, huyo mtoto atakula uref wa baba ake? Tafta mwanaume mwenye akili anaejituma
Habari za ohhh mara mfupi mara nataka mwanaume mrefu handsome
Swali ni je? Wewe na mwanao mtakula huo urefu wake au uhandsome wake?
PM kule kuna maswali mazito na yakushusha utu wa mtu..π€£π€£π€£ Ndio mkimbilie pm saivi kabla mtoa mada hajapata maokoto.
Sasa nkuite nani weyeππππKheeeeee ndo ushaanza kuniita kaka serious.....
πππ
Acha nilie tuuu shabashiiiii
nmebadili cm nambako imepoteaπππNataka unipigie tuu nijifie hukooo πππ
LENGO lako ni lipi kuuliza hivi?Hiyo disability ikoje!?
Ya kihisia ama ya akili ama ya kiungo?
Yasijekuwa km ya Penina!Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.
I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi
Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.
Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.
Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.
Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto
Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
Mengine mengi tutajuzana na muhusika
Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Usiite kaka tuu...Sasa nkuite nani weyeππππ
Kwani we ni jobless? π€£PM kule kuna maswali mazito na yakushusha utu wa mtu..
Sasa unafika unaambiwa unafanya kazi gani..?
Mara umri wako...?
Yaani mambo ya kukera tuu
Mi nishaenda PM huko ila ndo hvo yupo kimya π₯Ίπ₯Ίπ₯Ί
πππnmebadili cm nambako imepoteaπππ
Ni jobless ila sio pro...Kwani we ni jobless? π€£
πππππ Mtoto wa 2000 mimi jimama nkuite dadyUsiite kaka tuu...
Ita mengine yote. (Dear, dear,dady)
Wananichanganya sana, maana naona kwa macho yangu jinsi watu walivyo speed kutongoza, watu hadi kwenye ule mbanano wa mwendokasi huwa wanatongoza.Au "k" zimetembea kilometre kibao