Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Tunatupiamo ndoanoWababa wajibikeni huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatupiamo ndoanoWababa wajibikeni huko.
Baba wadogo mabinamsas nmezaliwa mwenyewe namtoa wap
aseeeee😂😂😂😂😂 unasemaje wewNakumudu wewe 😂 😂 😂...
Mybe unizidi maneno 😂😂🙌🙌
ngoja nianze kuwaambiaBaba wadogo mabinam
Hunistui hata kidogoooooooaseeeee😂😂😂😂😂 unasemaje wew
Ashasema mlemavu tena upande wa neuro-system,mapenzi anayaweza wapi!?Tafuta pesa utalea mwenyewe madamu,,,ila upate hitaji la moyo wako
Unaweza ukapata mume na usipate mtoto muombe Mungu akupatie mume hata hivyo hongera kwakuwa muwazi kwa hitaji lakoNahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.
I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi
Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.
Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.
Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.
Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto
Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
Mengine mengi tutajuzana na muhusika
Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Humu huna kaka wewe...ngoja nianze kuwaambia
unajiamini sana sio😂😂😂Hunistui hata kidogooooooo
🙌😂😂😂
Ni mwendo wa chuki chuki
Naomba uwe wewe bas😂😂😂Humu huna kaka wewe...
Hata kaka ako ambaye akili zake chache yule
Huku sijiamini sana sana mana kuna walanguzi na vichwa vigumu 😂😂unajiamini sana sio😂😂😂
Si kweli.Sio kweli.
Wanaume wa siku hizi uwajibikaji kwa watoto ni SIFURI.
I can'toooooo....Naomba uwe wewe bas😂😂😂
Dada financial stebo 😂😂Kama bado unajitafuta bora utulie kwanza uwe financially stable Ili hata mtoto akija uweze kumlea maana kwa style hiyo ujiandae kulea mtoto mwenyewe.
Woooiii tatzo ilo😂😂😂😂Huku sijiamini sana sana mana kuna walanguzi na vichwa vigumu 😂😂
😂😂😂😂Mwe mwe mwe unasemaje kakaI can'toooooo....
Mi bado kuna kitu natafuta kwako is too early jamn kujitoa kuwa kaka 😂😂😂